johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,984
- 142,001
Wote tunajua Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni Makamu Mwenyekiti mwenza wa Muungano wa Vyama Vya Demokrasia Duniani
Hali kadhalika Spika wa Bunge la JMT mh Dr Tulia PhD ni Boss wa Muungano wa Mabunge yote Duniani
Wawili hawa Ndio Wanaofanya Tanzania Isomeke sawia kwenye Ramani ya Dunia hasa Wakati Huu wa machafuko duniani
CCM na ACT Wazalendo msinune 🐼
Hali kadhalika Spika wa Bunge la JMT mh Dr Tulia PhD ni Boss wa Muungano wa Mabunge yote Duniani
Wawili hawa Ndio Wanaofanya Tanzania Isomeke sawia kwenye Ramani ya Dunia hasa Wakati Huu wa machafuko duniani
CCM na ACT Wazalendo msinune 🐼