Inasemaje maana BBC ilivyonyongwa hiyo taarifa sina hamu.haisadii l,taarifa ya amnesty international IPO hadharani
Anzisha TV yakoKama kuna habari mnataka isiwafikie Watanzania ni bora kipindi kizima mkaachana nacho badala ya kuonyesha zile mnazozipenda na kuzima tusione zile msizozipenda.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Bado kuna wajinga mkuu hawana smart phoneHivi bado mnaangalia hivi vitu
Dikteta amefaulu kwa hiloTumefikia mahali tunapangiwa tutakula nini,tutalala muda gani,tutasikiliza habari gani bado kidogo tutapangiwa tutatakiwa kuolewa au kuowa mabinti/wakaka wa aina gani.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema tuepushe kikombe hiki.
Kuna mtu zinamchochea kukalia chupaZinamchochea Nani?
Anzisha TV station ya kwako na utangaze Kila kitu Bila kukata habari zozote zileKama kuna habari mnataka isiwafikie Watanzania ni bora kipindi kizima mkaachana nacho badala ya kuonyesha zile mnazozipenda na kuzima tusione zile msizozipenda.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Juhudiii hoyeeeeeeLabda walitabiri habari inayofuata itakuwa ni ya kukosoa juhudi
Sio kufungiwa tu na faini millioni 15.Kulipa mishahara kwenyewe kazi halafu uingie kwenye anga za TCRA.Kwa sababu za kiusalama na kibiashara StarTV acheni kuungana na BBC na wanaotaka habari za BBC watazipata onlineComrade unataka Star TV ifungiwe kurusha matangazo kwa siku 7 kwa kutumia sheria kandamizi za CCM ?
Anzisha channel yako uonyeshe bila kukataa matangazoKama kuna habari mnataka isiwafikie Watanzania ni bora kipindi kizima mkaachana nacho badala ya kuonyesha zile mnazozipenda na kuzima tusione zile msizozipenda.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe ni Anthony?Anzisha channel yako uonyeshe bila kukataa matangazo
Cc: Bunge la ulaya
Bora waache hicho kipindi cha dira ya BBC kuliko kukatakata habariUkweli kuhusu udhalimu wa Magufuli na CCM ni uchochezi?