BBC swahili, Dira ya Dunia imepoteza mvuto!

BBC swahili, Dira ya Dunia imepoteza mvuto!

Freyzem

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
10,318
Reaction score
25,111
Kwa wafuatiliaji wa Bbc swahili dira ya dunia, kupitia matangazo yanayorushwa saa tatu usiku kuanzia jumatatu hadi ijumaa kupitia Star tv watakubaliana nami kuwa urushaji wa taarifa umekosa mvuto!

Tokea Charles Hilary aondoke, huku akifuata Zuhura Yunus na hatimae Salim Kikeke, Mariam Omary pamoja na Saluma Kassim utangazaji wa taarifa zake hauna mvuto kabisa!

Watangazaji wanaotangaza hivi sasa hawavutii kuwasikiliza na hata taarifa zinazotangazwa mara nyingi ni kutoka Kenya, na hata kwenye mijadala mara nyingi wakenya ndio wanakuwa wanashirikishwa zaidi, tofauti na hapo awali ambapo kulikuwa na balance!

Hivi sasa BBC haina tofauti na KBC ama Citizen Tv za Kenya!
 
Walikuja kuwekeza kwenu mkawatimua, wameenda kwa majirani zenu na wanapewa kipaumbele mnaanza nongwa!
 
Back
Top Bottom