johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,558
Kama kuna habari mnataka isiwafikie Watanzania ni bora kipindi kizima mkaachana nacho badala ya kuonyesha zile mnazozipenda na kuzima tusione zile msizozipenda.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!