Star TV mbona mnakatisha matangazo ya BBC Dira ya Dunia?

Wewe ni mshamba sana!Hadi leo hujajua ya kwamba Tanzania hakuna tena uhuru wa habari?!
0659010.jpg
 
Hapo ndipo utajua kama utawala wa awamu hii ni wa kutupeleka kwenye nuru au gizani.

Rais Magufuli atakumbukwa kwa jitihada za kuipeleka Tanzania kwenye giza nene.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom