Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,928
- 6,467
Sasa unataka report gani wakati uchaguzi uko na ulikuwa live?Report ya uchaguzi mkuu wa Marekani wametoa?
Sasa unataka report gani wakati uchaguzi uko na ulikuwa live?Report ya uchaguzi mkuu wa Marekani wametoa?
Picha inaongea ukweli mtupuWewe ni mshamba sana!Hadi leo hujajua ya kwamba Tanzania hakuna tena uhuru wa habari?!
View attachment 1633322
Shetani wa kijani yupo kazini!Picha inaongea ukweli mtupu
We Pimbi kweli , Ina maana hujui kama haya ni matunda ya utawala bora wa kihutu wa awamu ya tano ambao wewe ni kibaraka wake mtiifu .Kama kuna habari mnataka isiwafikie Watanzania ni bora kipindi kizima mkaachana nacho badala ya kuonyesha zile mnazozipenda na kuzima tusione zile msizozipenda.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe mbunyu!Wewe
We Pimbi kweli , Ina maana hujui kama haya ni matunda ya utawala bora wa kihutu wa awamu ya tano ambao wewe ni kibaraka wake mtiifu .
Kukosoa ni uchochezi???Ulitaka hizo habari za uchochezi
taarifa inasema uchaguzi wa Tanzania uligubikwa na ukiukwaju mkubwa wa haki za binadamuInasemaje maana BBC ilivyonyongwa hiyo taarifa sina hamu.