Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,273
- 11,773
Ufe mara ngapiJamani hiyo report sjaipata kumbe imeshaondolewa??
Uhuru wa habari unaelekea kufa
Kingsmann
Ufe mara ngapiJamani hiyo report sjaipata kumbe imeshaondolewa??
Uhuru wa habari unaelekea kufa
The worst is yet to come!Baada ya CCM kulawiti uchaguzi, sasa wanaanza kulawiti wananchiWewe ni mbwiga!
Zinamchochea Nani?Ulitaka hizo habari za uchochezi
Kama kuna habari mnataka isiwafikie watanzania ni bora kipindi kizima mkaachana nacho badala ya kuonyesha zile mnazozipenda na kuzima tusione zile msizozipenda.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Hivi wewe ndio wa kushangaa kwanini hivyo, mbona hukushangaa msimu wa uchaguzi unashangaa leo.Kama kuna habari mnataka isiwafikie watanzania ni bora kipindi kizima mkaachana nacho badala ya kuonyesha zile mnazozipenda na kuzima tusione zile msizozipenda...
Kwamba kuna Uhuru wa habariWewe ni mbwiga!
Sijashangaa nimeuliza ili nijue sababu!Hivi wewe ndio wa kushangaa kwanini hivyo,mbona hukuu shangaan msimu wa uchaguzi una shangaan leo.
Upo ndio maana hapa JF kazi inaendelea!Kwamba kuna Uhuru wa habari
Wanakera mno.Kama kuna habari mnataka isiwafikie watanzania ni bora kipindi kizima mkaachana nacho badala ya kuonyesha zile mnazozipenda na kuzima tusione zile msizozipenda.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe ni mshamba sana!Hadi leo hujajua ya kwamba Tanzania hakuna tena uhuru wa habari?!
View attachment 1633322
Mello Ana kifungo Cha nje ukumbuke!JF naona na wao wameuondoa ule Uzi wa report ya human right watch duh
Halafu nyuma ya akina JK kuna picha ya Mwalimu!hiyo picha imenichekesha sana yaani.
Eti watu wanapigwa nyundo wakina JK wanachekelea tu
Acha kutukana wananchi na huyo amsterdam wenu.The worst is yet to come!Baada ya CCM kulawiti uchaguzi, sasa wanaanza kulawiti wananchi
Tatizo ni hiyo report ambayo JIWE na WACHUMIA tumbo hawataki kuisikia....Wakikata matangazo nenda youtube swahili utaipata live...Mimi walivyokata nikaenda youtube kuiona hiyo report ya haki za binadamu.Kama kuna habari mnataka isiwafikie Watanzania ni bora kipindi kizima mkaachana nacho badala ya kuonyesha zile mnazozipenda na kuzima tusione zile msizozipenda.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Habari waliyokata sio ya Ethiopia bali ni report ya haki za binadamu kuhusu yaliyotokea kwenye uchaguzi wa TZ.Habari za Ethiopia zinahusiana nini na TCRA au CCM?