pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Bahati mbaya kabisa wanaoongea na kutoa lugha za kipuuzi ni wale ambao watanzania wanawadharu kupindukia.
Maisha yanaendelea kama kawaida. Mwenye kujiamini haogopi kufanya anachokiamini eti kwa sababu kifo kipo.
Anakufa imamu, anakufa Papa, anakufa mzee anayeheshimiwa na jamii!.
Cha muhimu hapa duniani tuheshimiane tusitake kupandana juu ya vichwa. Mtu asitake ku-blackmail ufanisi wa mtu eti kwa kitisho cha kifo!.
Maisha yote kwa ujumla wake ni neema tu.
Maisha yanaendelea kama kawaida. Mwenye kujiamini haogopi kufanya anachokiamini eti kwa sababu kifo kipo.
Anakufa imamu, anakufa Papa, anakufa mzee anayeheshimiwa na jamii!.
Cha muhimu hapa duniani tuheshimiane tusitake kupandana juu ya vichwa. Mtu asitake ku-blackmail ufanisi wa mtu eti kwa kitisho cha kifo!.
Maisha yote kwa ujumla wake ni neema tu.
Tumuulize faida ya kodi ni nini?Mheshimiwa Job Ndugai amewataka watanzania kutoa mbadala ili tujenge nchi. Ukweli japo sisi watanzania tunazo kwikwi juu ya ulipaji Kodi ukilinganisha na nchi zingine . Binafsi sitoi mbadala Ila nitoe marekebisho njia Bora kwetu sote kama watanzania kuenenda Sawa. Kwa Kodi hii ya kizarendo naomba Kwanza viwango vishuke kidogo ili watanzania japo tujipe uzoefu Ila ili kuziba pengo tuweke tozo kwenye mishahara ya wabunge mawaziri na Raisi Kwa kuwa ni kundi linaloongoza japo kuwa vizuri kuliko makundi mengine ya watanzania. Nadhani kama viongozi tutakuwa tumeonyesha njia badala ya kuwa nyampara na tutawaelewa zaidi.
Maswali mazuri Sana haya sina uhakika yanaweza kumfikiajeTumuulize faida ya kodi ni nini?
Nani ananufaika na hiyo kodi?
Pasipo kodi yeye anapata hasara gani?
Hiyo kodi inampa faida gani?
Nani mwenye wajibu wa kulipa kodi na kwanini?
Nani hapaswi kilipa kodi na kwanini?
Nani anayestahili kunufaika na kodi bila kulipa kodi na kwanini?
Hii post ni maneno ya ndugai au ni wewe ndo umetoa mtazamo wako mkuu?Mheshimiwa Job Ndugai amewataka watanzania kutoa mbadala ili tujenge nchi. Ukweli japo sisi watanzania tunazo kwikwi juu ya ulipaji Kodi ukilinganisha na nchi zingine . Binafsi sitoi mbadala Ila nitoe marekebisho njia Bora kwetu sote kama watanzania kuenenda Sawa. Kwa Kodi hii ya kizarendo naomba Kwanza viwango vishuke kidogo ili watanzania japo tujipe uzoefu Ila ili kuziba pengo tuweke tozo kwenye mishahara ya wabunge mawaziri na Raisi Kwa kuwa ni kundi linaloongoza japo kuwa vizuri kuliko makundi mengine ya watanzania. Nadhani kama viongozi tutakuwa tumeonyesha njia badala ya kuwa nyampara na tutawaelewa zaidi.
Na na vieite umeyasahau yote yakizingatiwa kama nchi tutapaa1: Viongozi wote walipe kodi.
2: Marupurupu yapunguzwe.
3: kodi zielekezwe kwenye shughuli za muhimu na za maendeleo sio kulipa wabunge wake spika (hawana majimbo sio wawakilishi)
4: Nafasi nyingine zipunguzwe ili kupunguza matumizi ya hizo kodi mf. Wabunge wa viti maalumu n.k n.k
(Kuna lundo la vyeo ambavyo havina hata cha maana zaidi ya kutafuna tu kodi)
Ni uzwazwa kutaka kujenga nchi kwa kutukamua wananchi wakati nchi ina resources nyingi kuliko nchi zilizotuzunguka. Tuna dhahabu, almasi, chuma, ruby, tanzanite, gas asilia, bahari, bandari, makaa ya mawe, mlima kilimanjaro, ngorongoro crater, serengeti, manyara, tarangire, na vivutio vingi sana.Mheshimiwa Job Ndugai amewataka watanzania kutoa mbadala ili tujenge nchi. Ukweli japo sisi watanzania tunazo kwikwi juu ya ulipaji Kodi ukilinganisha na nchi zingine . Binafsi sitoi mbadala Ila nitoe marekebisho njia Bora kwetu sote kama watanzania kuenenda Sawa. Kwa Kodi hii ya kizarendo naomba Kwanza viwango vishuke kidogo ili watanzania japo tujipe uzoefu Ila ili kuziba pengo tuweke tozo kwenye mishahara ya wabunge mawaziri na Raisi Kwa kuwa ni kundi linaloongoza japo kuwa vizuri kuliko makundi mengine ya watanzania. Nadhani kama viongozi tutakuwa tumeonyesha njia badala ya kuwa nyampara na tutawaelewa zaidi.
Mavieite waachane nayo au sio?!😁 Watumie passo na starletNa na vieite umeyasahau yote yakizingatiwa kama nchi tutapaa
Fuatilia Jana Ndugai alipaza sauti kuwa hizo tozo za miamala zimepita bungeni ili nchi ipae by 2025 so akatuimba watanzania tutoe mbadala ili tupate ahueni kwenye hiyo miamala so huo ndo mbadala wangu na naomba umfikieHii post ni maneno ya ndugai au ni wewe ndo umetoa mtazamo wako mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app