SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,444
Huyo alisoma kusifu na kuabudu watawalamkuu ulisoma literature/fasihi?
Huyo alisoma kusifu na kuabudu watawalamkuu ulisoma literature/fasihi?
Nje ya mada ,hapa tunajadili katuni hatumjadili Kipanya na dini yake.Huyu kipanya nafiki kweli. Wanadai alijisuguaga na msasa kwenye paji lake uso awe na ile alama niksda asifiwe eti mtu wa sala na dini
kwani 2014 imeshafika?Nakumbuka kuna kiongozi fulani wakat mradi wa gesi bado mbichi alisema mpaka kugikia 2014 Tanzania itakuwa sio masikini tena kutokana na faida zitakazopatikana kupitia mradi huo
Tusubiri majibu kutoka tume ya uchunguzi watuthibitishie kama kweli 2014 umeshafikakwani 2014 imeshafika?
Bunge vp nalo hawajui mkataba huoSasa hivi wanashangia Stieglers Gorge wakati mkataba wa ujenzi wa huo mradi hawaujui.
Nchi ya mazo...mb.i
Sasa hivi wanashangia Stieglers Gorge wakati mkataba wa ujenzi wa huo mradi hawaujui.
Nchi ya mazo...mb.i
kwani 2014 imeshafika?
JK alidanganya ataigeuza Kigoma kua Dubai hahah.
Mwisho wa siku wamekomaa na mawese yao tu.
Bado mkuukwani 2014 imeshafika?
Namamigebuka ya KayangwaaJK alidanganya ataigeuza Kigoma kua Dubai hahah.
Mwisho wa siku wamekomaa na mawese yao tu.
naona unafuatilia kalenda ya ethiopia...Bado mkuu
Mi mwenyewe ndo nasubiria hapa
sijaelewa !!!Huyu ni balaaView attachment 966797