machomanne
JF-Expert Member
- Feb 22, 2017
- 822
- 925
Kuku baada ya kuona mnyama mkali, kaamua kuficha kichwa mchangani wakati mwili wote Uko nje. Ni Sawa na mwizi aliyekurupushwa akajificha kwenye shamba la karanga.Kuna baadhi ya katuni hata yeye hujichorea tu ili tumwone GENIUS.
Sasa hii ina maana ipi hata haielezei lolote. Zaidi zaidi kila mtu atakuja na hisia zake humu.

