Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Wapumbavu hawaishi kuzaliwa kwani kwa takwimu zisizo za kidunia, kila wanaume mia moja wanaozaliwa Tanzania, 99 ni wapumbavu waliopitiliza! Haiyumkiniki wewe mleta hoja upo kundi hilo! Ningekufundisha somo la perception lakini hutoweza kulielewa kwa akili kiduchu uliyokuwa nayo! Nakushauri urudi shule ukajifunze ama namna ya kureason au kujipendekeza kwasababu lugha ya picha ambayo huanza kufundishwa darasa la kwanza ulimwaibisha mwalimu wako! Kwa taarifa mchonganishi ni wewe na huenda una bifu la kipuuzi au wivu wa kipumbavu na Kipanya! Na hii ndiyo sababu kuu ya mkulu kuwateua wapinzani kwenye nafasi za juu na kuiacha sampuli ya kwako ikidanga na kupiga miayo! Mtashindia sana bigG hapo lumumba!
Povu lote hili la nini ndugu? Nani kakuambia mimi ni Lumumba?
Hiyo ni tafsiri yangu, kama hujakubaliana nayo, ni ok tu kwangu, maana mimi kuna uzi nyingi sikubaliani nazo hapa JF, ila siendi kutoa povu wala matusi kwa walioanzisha
Nikisema Kipanya amemkejeli Magufuli simchongei kipanya, kwani hata akimkejeli sio kosa kumkejeli rais, Rais pia anakejeli watu..tatizo ni nini?
Mambo madogo haya, tuache kupanic
 
Umempa ukweli mtupu yani kikatuni hakihusiki na magufuli kabisa. Nakuunga mkono acha Raisi awateue upinzani Wana mawazo chanya kuliko hao wanaoendekeza upuuzi
Huyo kapanic tu, yeye ana matatizo ya kutafsiri pia kisha anatukana na mipovu mingi..Eti nimetokea Lumumba, sijui mpumbavu blah blah blahh...
Nimeanzisha uzi kwa tafsiri yangu na maoni yangu, kama wengine wafanyavyo hapa JF, wewe kama una tafsiri yako kwa nini unitukane? Si utoe hiyo ya kwako pia?

Eti namchongea kipanya,kwani ni kosa kumkejeli rais hadi nimchongee...?
 
Huyo kapanic tu, yeye ana matatizo ya kutafsiri pia kisha anatukana na mipovu mingi..Eti nimetokea Lumumba, sijui mpumbavu blah blah blahh...
Nimeanzisha uzi kwa tafsiri yangu na maoni yangu, kama wengine wafanyavyo hapa JF, wewe kama una tafsiri yako kwa nini unitukane? Si utoe hiyo ya kwako pia?

Eti namchongea kipanya,kwani ni kosa kumkejeli rais hadi nimchongee...?
Wewe umeandika kwa hisia kumfanyia masoud uchochezi na unajua awamu hii watu wanapotezwa kwa Kuwa na maoni tofauti, mimi sijaona masoud akimu mention magufuli hapo ni wewe tu na interpretation zako.
 
Wewe umeandika kwa hisia kumfanyia masoud uchochezi na unajua awamu hii watu wanapotezwa kwa Kuwa na maoni tofauti, mimi sijaona masoud akimu mention magufuli hapo ni wewe tu na interpretation zako.
Of course ni interpretation yangu, mtu mwingine anaruhusiwa kuwa na interpretation yake pia..Hii ni JF haimaanishi kila kinachowekwa hapa ni fact, nyingi ni opinion za watu.

Kama ni kumpoteza kipanya hawaitaji mimi kuwatafsiria ili wampoteze, sio wajinga , wanaweza kutafsiri pia na kama kumpoteza wakampoteza.
 
Lakini kwanini umlishe kipanya maneno maana mimi nilivoingia kusoma uzi na title ni vtu viwili tofauti kabisa.

Hafu humu JF watendaji wengi hupita na kufanyia kazi sasa mwenzako akitekwa, Ben saanane uzi wake ulimpoteza mazima.

Humu JF hupitiwa na watu wengi hafu uongo ukiachwa hugeuka ukweli
Of course ni interpretation yangu, mtu mwingine anaruhusiwa kuwa na interpretation yake pia..Hii ni JF haimaanishi kila kinachowekwa hapa ni fact, nyingi ni opinion za watu.

Kama ni kumpoteza kipanya hawaitaji mimi kuwatafsiria ili wampoteze, sio wajinga , wanaweza kutafsiri pia na kama kumpoteza wakampoteza.
 
Una uhakika gani kama ni kejeli au ww ndo unaleta uchonganishi au Una mgogoro na ki-mouse?
Mchoraji maarufu wa katuni Masoud Kipanya amechora katuni ambayo inatafsirika kama kejeli kwa rais Magufuli
Katika katuni hiyo anaonekana mtu amezama majini akiacha mkono tu juu huku akisema yupo vizuri

Hii inaweza kutafsiriwa kuwa ni Hali mbaya ya kiuchumi Tanzania iliyonayo hivi sasa huku Rais akisisitiza katika hotuba zake za kila mara kuwa tupo vizuri

View attachment 960560
 
Lakini kwanini umlishe kipanya maneno maana mimi nilivoingia kusoma uzi na title ni vtu viwili tofauti kabisa.

Hafu humu JF watendaji wengi hupita na kufanyia kazi sasa mwenzako akitekwa, Ben saanane uzi wake ulimpoteza mazima.

Humu JF hupitiwa na watu wengi hafu uongo ukiachwa hugeuka ukweli
Nimemlishaje maneno sasa, amechora katuni mimi nikatafsiri nilivyoelewa, Mchora katuni anajua katuni yake inaweza ikatafsiriwa tofauti na ndio maana hawaziweki katuni zao zikawa na maana ya wazi sana.
Halafu hiyo katuni nimeiona twitter, instagram na facebook na maoni ya watu karibu wote wametafsiri pia hivyo,
 
Hyo sio tafsiri ulikusudia kumchongea mwenzako eti kamdhihaki Raisi. Bora hata angemchora na bichwa Lake lakini mtu kazama kabisa hapo ungesema hata muogeleaji inge sound better. Wrong interpretation kabisa
Nimemlishaje maneno sasa, amechora katuni mimi nikatafsiri nilivyoelewa, Mchora katuni anajua katuni yake inaweza ikatafsiriwa tofauti na ndio maana hawaziweki katuni zao zikawa na maana ya wazi sana.
Halafu hiyo katuni nimeiona twitter, instagram na facebook na maoni ya watu karibu wote wametafsiri pia hivyo,
 
Hakimu wa kazi ya sanaa yoyote ile ni hadhira! So usilazimishe mtazamo wako ndio mtazamo wa watu wote, mwingine anaweza akasema "mfa maji haachi kutapatapa"
 
Mchoraji maarufu wa katuni Masoud Kipanya amechora katuni ambayo inatafsirika kama kejeli kwa rais Magufuli
Katika katuni hiyo anaonekana mtu amezama majini akiacha mkono tu juu huku akisema yupo vizuri

Hii inaweza kutafsiriwa kuwa ni Hali mbaya ya kiuchumi Tanzania iliyonayo hivi sasa huku Rais akisisitiza katika hotuba zake za kila mara kuwa tupo vizuri

View attachment 960560
Mtu hawezi wajibika kwa ulichoelewa anawajibika kwa alichomaanisha hapo wapi imeonesha ni Magufuli? Usituaminishe ulichoelewa ww
 
Hyo sio tafsiri ulikusudia kumchongea mwenzako eti kamdhihaki Raisi. Bora hata angemchora na bichwa Lake lakini mtu kazama kabisa hapo ungesema hata muogeleaji inge sound better. Wrong interpretation kabisa
Dah, sijasema kamdhihaki, nimesema kamkejeli..Na kumkejeli mtu hata kama ni Rais sio kosa, kumkejeli rai sio kumtukana wala sio kosa la jinai..Tatizo liko wapi?

Kejeli ni kumsifia mtu lakini ukimaanisha kumkosoa, mfano nikisema leo umejitahidi kuwahi, lakini umechelewa kuliko siku zote hiyo ndio kejeli,
 
Kila mtu atatafsiri kulingana na hali aliyomo...kama wewe unaona ndo hivyo..sawa tu....Mwingine ataweka ccm hapo, mwingine Chadema etc
 
Huyu ni balaa
Screenshot_20181213-124654.jpeg
 
kipanya katisha sana. kiukweli kuna haja ya watanzania kuungana na kuupinga huu muswada hauna manufaa kwa taifa siku za mbeleni.
siasa inamgusa kila mtu hata kama haujihusishi nayo. Huu muswada unaenda kuwa chanzo cha kupotea kwa amani na umoja uliopo Tanzania
 
Back
Top Bottom