Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Imefanyaje ndege
Good question
Imefanyaje ndege
Misa inaanza saa tatu na nimeshaungama, ningelikupatia tusi zito mno! Nakutakia Chistmas njema!CCM inawatakia mkesha mwema, epukeni chadema wanaharibu mikesha.
Hata mimiKwa mara ya kwanza nimeshindwa kumuelewa
Alafu ccm waina iabudu kama mganga wao wa kutatua matatizo yao!Imepakwa rangi ya upinzani kwa mkono
Mimi piaKwa mara ya kwanza nimeshindwa kumuelewa
Ole wako ufe mbona haioaniOle wako UFE
Nafikiri wanatahadharishwa wasimamizi isife i was just guessingOle wako ufe mbona haioani
Mwenzio anauliza jibu, wewe unamsomea swali...hovyoo!Mbona hii ndio nyepesi zaidi kueleweka? Hiyo ni ndege ya ATC
Ona haka nako! Sijui kametokea wapi na vitusi vyake vya kike kike!! Eti "hovyoo" huoni aibu mtoto wa kiume kua na muandiko wa Kike?Mwenzio anauliza jibu, wewe unamsomea swali...hovyoo!
Hapo inaambiwa iwe makini na kazi/biashara yake/yaani no uzembe.Imefanyaje ndege
Ona haka nako! Sijui kametokea wapi na vitusi vyake vya kike kike!! Eti "hovyoo" huoni aibu mtoto wa kiume kua na muandiko wa Kike?
Loh huyu jamaa ni noma aiseeView attachment 976223