Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Ukiitazama vzr hiyo picha utaona mbuni aliyeficha kichwa
Pia,utamwona tai

Huyu mbuni anawakilisha upinzani na tai anawakilisha ccm
Ccm (tai) anataka kuudhuru upinzani (mbuni) lakni haoni chanzo cha mbuni ambacho ndyo kichwa!
Nimeelewa sasa.
 
Nilisoma ndiyo ila sio kwamba kuchorachora ni fasihi.

Umepata kuelewa hiyo picha? Hiyo picha haina maelezo yoyote yale ya moja kwa moja zaidi ya kila mtu ataisemea kwa namna aijuavyo.

Kamdai ada uliyomlipa huyo aliekufundisha kuhusu fasihi (kama ulichokiandika hapa ndio maana ya fasihi aliyokufundisha).
 
Asante wewe uliyeenda kusoma pasi kupoteza muda.

Naomba nipe maana ya hiyo picha.

Naweza kukupa lakini si lazima uelewe nitakavyokusudia uelewe (sio kwa kuwa huna uwezo wa kuelewa ila ni kwa kuwa uelewa wa fasihi unategemea mambo mengi tu).
 
Naweza kukupa lakini si lazima uelewe nitakavyokusudia uelewe (sio kwa kuwa huna uwezo wa kuelewa ila ni kwa kuwa uelewa wa fasihi unategemea mambo mengi tu).
Brother nimeomba unielezee hiyo picha! sijataka kuimbiwa mashairi.
 
Nipe maelezo nijue ana maana gani.
Kuficha kichwa(kivyovyote vile) huku uko exposed and vulnerable na myama mwenye uwezo(probably na nia pia) wa kukutafuna ameshakufikia, hapo ni kwamba unacheza makida makida tu.
 
Nilisoma ndiyo ila sio kwamba kuchorachora ni fasihi.

Umepata kuelewa hiyo picha? Hiyo picha haina maelezo yoyote yale ya moja kwa moja zaidi ya kila mtu ataisemea kwa namna aijuavyo.
Hujasoma, huwezi kujibu hivi, kazi ya fasihi lazima kila mmoja aitafsiri kivyake kam ineleweka kirahisi hiyo sio fasihi, hiyo picha ni sawa na kukimbia tatizo ukidhani litajitatua ila ukweli linabaki pale pale, na ukiibuka unalo, au ni sawa na kuambiwa kitu then unaziba masikio kwa viganja ili usisikie, hiyo inakuwa sio suluhu ila tatizo lnabaki pale pale, sasa jiulize nani anaambiwa ila anajifanya kutosikia, hapo ni juu yako! Kwa kidhungu wanasema "running awaya from a problem it is not of solving it" tatua tatizo na sio kuzamisha kichwa ardhini maana ukiibuka unakumbana nalo linakusubiri
 
Back
Top Bottom