Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Hujasoma, huwezi kujibu hivi, kazi ya fasihi lazima kila mmoja aitafsiri kivyake kam ineleweka kirahisi hiyo sio fasihi, hiyo picha ni sawa na kukimbia tatizo ukidhani litajitatua ila ukweli linabaki pale pale, na ukiibuka unalo, au ni sawa na kuambiwa kitu then unaziba masikio kwa viganja ili usisikie, hiyo inakuwa sio suluhu ila tatizo lnabaki pale pale, sasa jiulize nani anaambiwa ila anajifanya kutosikia, hapo ni juu yako! Kwa kidhungu wanasema "running awaya from a problem it is not of solving it" tatua tatizo na sio kuzamisha kichwa ardhini maana ukiibuka unakumbana nalo linakusubiri

Asante sana mkuu. Nimejaribu kumuelezea something to that effect you have explained here. Badala ya kutaka kuelewa anadai hataki kuimbiwa mashairi (as if mashairi si fasihi)
 
Kuna baadhi ya katuni hata yeye hujichorea tu ili tumwone GENIUS.

Sasa hii ina maana ipi hata haielezei lolote. Zaidi zaidi kila mtu atakuja na hisia zake humu.
1. Anaficha kichwa wakati mwili wote uko nje.

2. Mfano: unapotaka kula kuku unafuata kichwa au mwili ambao ndio una kidali na mapaja?

Kwahiyo workdone ni zero.
 
Hizo ndizo picha fikirishi sasa sio hizo za kuchora mbweha na korongo ili tu uweke tahamaki kwa watu wakuone Jiniazi.

Hiyo picha inazingumzia tukio la sep 11 vivuli vya hao watu ni yale majengo yaliyolipuliwa na Osama siku ile.
nan kakwambia osama ndiye aliyelipua?
 
Back
Top Bottom