Special message to Mama Janeth Magufuli

Special message to Mama Janeth Magufuli

Habari mama,

Pole sana kwa msiba wa mumeo!, alikuwa great leader na wananchi wengi wanamkumbuka kwa utumishi wake ingawa ulikuwa mfupi kuliko kiongozi yeyote aliyetawala nchi yetu.

Hiyo Pole niliyotoa ni ya kawaida kwasisi binadamu maana wote tumefiwa wapendwa wetu lakini lengo kuu ni Pole kwa unayosikia na kuona kejeli na kubagazwa kwa marehemu mume wako hadharani bila woga tena kwa mambo mengine yasiyo msingi.

Sikia mama, mume wako alitimiza wajibu wake bila kujali pale alipokosea lakini wewe u hai ubavu wake ukisikia maneno magumu sana. Pengine unalazimika kuwatia moyo watoto lakini wewe mwenyewe umebeba mzigo mzito.

Imagine hata leo maneno yaliyotamkwa mbele yako! Tushukuru mama Samia walau kutuliza moyo wako baada ya maneno magumu leo lakini sio rahisi.

Endelea kuvumilia malimwengu, endelea kuipenda Tanzania! Jipe moyo kama Bikira Maria alivyojipa moyo alivyoshuhudia mwanae akiteswa na kufa msalabani!

Endelea kujipa moyo kama Bikira Maria alivyovumilia hata waliomtenda ubaya Yesu walipoeneza uzushi dhidi yake kuwa wanafunzi wake wamemwiba hakufufuka. Haikuwa rahisi ila moja ya tunu tunayojifunza juu ya Bikira Maria mara nyingi ni yote aliyaweka moyoni!

Kasome utenzi wa Bikira Maria Luka 1: 46-55 Ukutie nguvu. All shall be well 🙏
Pray for u mwalim wangu. Natamani upewe Urais wewe wenye viriba vya roho waumuke
 
Sio lazma ucomment vingine Uzi kama haukuhusu pita kimya
Usinihusu vipi akati unaandika ujinga. Kama huna hoja ya maana usiilete JF, ukileta hoja ya kpumbavu utachez4a za uso. Nenda kaandike huko facebook kwa vichwa maji wenzio
 
Miaka yote tunasikia malalamika ya wizi wa kura katika chaguzi zote watu wanajua ccm inaendelea kutawala kwa sababu ya wizi wa kura na kutumia nguvu ya dola, sasa wewe unataka kutuaminisha kwamba huo wizi wa kura kitu kipya alichokileta Magufuli.

Watu tumeacha kupiga kura toka hata Magufuli hajawa rais kutokana na kuona matokeo ya uchaguzi huwa yanajulikana hivyo hakuna uchaguzi ni upumbavu mtupu.

Haya Magufuli hayupo sasa tusubiri uchaguzi ujao tuone kama kuna jipya.

Unadhani hatujui tofauti ya chaguzi chini ya Magufuli na nyingine? Kabla ya Magufuli CCM ilikuwa inaiba kura, na bado wapinzani walikuwa wanazidi kuongezeka. Magufuli alipoona kuiba hakutampa kura atakazo zaidi ya fedheha, akaamua kupora mchakato wa uchaguzi. Kama hujui tofauti ya hili basi huna ujualo.
 
Samia na genge lake la wahuni wanatembea kifua mbele wamejisahau kuwa mwisho wao hupo karibu sana.
 
Huenda mahasimu wake wanajaribu...... "ku-capitalize hii kauli for political gain and public sympathy"....ila siasa mchezo mchafu Sana...

Ila ni vyema kuchunga kauli zetu tunapoongea mbele ya hadhara.
Chige Tindo Pascal Mayalla
Mkuu Proved...

Nikiri na mimi mwanzoni nilimshutumu sana Mzee Makamba! Baada ya kuona screenshot iliyomnukuu SSH, nikadhani SSH anamtetea tu Mzee Makamba, kwahiyo nikalazimika kutafuta clip.

Baada ya kuisikiliza, nikasema kama alichosema JokaKuu

Ajabu, nimeshambuliwa balaa, tena wengine nilikuwa nawaheshimu

Kwamba Mahasimu wake wana-capitalize hii kauli, I can confidently say, sio MAHASIMU wake!

Mahasimu wake ni neno zito sana! Wanao-capitalize hiyo kauli ni Walinzi wa Legacy! Hawana quality yoyote ya kuwa Mahasimu wa Mzee Makamba!

Hawa ni wale ambao wanataka misimamo ya kila mtu kuhusu Magu ni LAZIMA ifanane na wao, kinyume chake watakuona UNA CHUKI.

Hawa wanataka sote tuamini Ben Saanane, Tundu Lissu, Anzory Gwanda, Erick Kabendera, na wengine wengi tu hawakukutwa na jambo lolote kwahiyo tuwapuuze!
 
Unadhani hatujui tofauti ya chaguzi chini ya Magufuli na nyingine? Kabla ya Magufuli CCM ilikuwa inaiba kura, na bado wapinzani walikuwa wanazidi kuongezeka. Magufuli alipoona kuiba hakutampa kura atakazo zaidi ya fedheha, akaamua kupora mchakato wa uchaguzi. Kama hujui tofauti ya hili basi huna ujualo.
Magufuli anastahili kutukanwa kitaifa. Yaani iwepo siku ya kitaifa ya kumnanga
 
Ila mama Janeth Magufuli angekuwa na ka-foundation ingekaa poa sana, angeanzisha.foundation inayo deal na ushauri kwa wanawake waliofiwa na wenza/waume zao ingekaa poa sana au mama hataki makuu nin?
 
Mh. Makamba baba yake January kasema kuwa Kinana na Kikwete hawajafa maana watu wabaya huwa wanakufa akimaanisha Dkt Magufuli alikuwa mtu mbaya ndiyo maana alikufa, Mkapa alikufa kwa sababu alikuwa mtu mbaya, Mwl Nyerere alikufa kwa sbabau alikuwa mtu mbaya, Mzee Karume alikufa kwa sababu alikuwa mtu Mbaya, Horace Kolimba alikufa kwa sababu alikuwa mtu Mbaya …..
Kwa hayo mameno inatakiwa huyo makamba auliwe haraka sana ni laana ya taifa ...sijui usalama wa taifa kaziyao ni gani ...mimi namlaani magufuli kwa kuwaacha hai wazee watatu katika hii nchi.
WAISIHARAMU AKILI HAWANA
 
Habari mama,

Pole sana kwa msiba wa mumeo!, alikuwa great leader na wananchi wengi wanamkumbuka kwa utumishi wake ingawa ulikuwa mfupi kuliko kiongozi yeyote aliyetawala nchi yetu.

Hiyo Pole niliyotoa ni ya kawaida kwasisi binadamu maana wote tumefiwa wapendwa wetu lakini lengo kuu ni Pole kwa unayosikia na kuona kejeli na kubagazwa kwa marehemu mume wako hadharani bila woga tena kwa mambo mengine yasiyo msingi.

Sikia mama, mume wako alitimiza wajibu wake bila kujali pale alipokosea lakini wewe u hai ubavu wake ukisikia maneno magumu sana. Pengine unalazimika kuwatia moyo watoto lakini wewe mwenyewe umebeba mzigo mzito.

Imagine hata leo maneno yaliyotamkwa mbele yako! Tushukuru mama Samia walau kutuliza moyo wako baada ya maneno magumu leo lakini sio rahisi.

Endelea kuvumilia malimwengu, endelea kuipenda Tanzania! Jipe moyo kama Bikira Maria alivyojipa moyo alivyoshuhudia mwanae akiteswa na kufa msalabani!

Endelea kujipa moyo kama Bikira Maria alivyovumilia hata waliomtenda ubaya Yesu walipoeneza uzushi dhidi yake kuwa wanafunzi wake wamemwiba hakufufuka. Haikuwa rahisi ila moja ya tunu tunayojifunza juu ya Bikira Maria mara nyingi ni yote aliyaweka moyoni!

Kasome utenzi wa Bikira Maria Luka 1: 46-55 Ukutie nguvu. All shall be well 🙏
Mnaomkumbuka ni nyie sukuma gang sisi bado tunamtafuta Ben Saanane
 
Unadhani hatujui tofauti ya chaguzi chini ya Magufuli na nyingine? Kabla ya Magufuli CCM ilikuwa inaiba kura, na bado wapinzani walikuwa wanazidi kuongezeka. Magufuli alipoona kuiba hakutampa kura atakazo zaidi ya fedheha, akaamua kupora mchakato wa uchaguzi. Kama hujui tofauti ya hili basi huna ujualo.
Hii ndo tafsiri sahihi hasa...

2020 sio kwamba ziliibwa kura bali uliibwa mchakato WOTE wa Uchaguzi, na uchaguzi wenyewe.

Mwaka jana nilikutana na Msimamizi mmoja wa uchaguzi ambae ni Vert Trust worth. Nikamuomba aniambie ukweli kuhusu ule uchaguzi!!

Ambayo aliniambia, ingekuwa ni mtu mwingine, nisingemuamini.

Akanisimulia jinsi alivyopata changamoto kwenye kituo kimoja!

Matokeo yanaonesha mtu wa upinzani ameshinda. Aliposimama, nyuma yake kuna askari wenye silaha wanamtaka atangaze tofauti, mbele yake kuna kundi kubwa la wananchi wakiwa na nyuso za "Ole wako" huku wakipiga kelele kwamba wakiporwa hapata kalika.

Kilichomsaidia mwamba, kwenye kitongoji cha jirani Raia wakaliamsha vibaya mno, ofisi za serikali zikaanza kuchomwa moto kiasi kwamba askari waliokuwepo wakawa wamezidiwa nguvu na kuomba backup ya askari wengine.

Ikabidi askari waende kule kwenye vurugu, na hapo ndipo Mwamba akatangaza matokeo halali kisha akatokomea!!
 
Man,

Hao akina MTAZAMO wanajiona wao ndo wana uchungu zaidi na JPM kuliko hata Mama Janeth mwenyewe!!

Ni kutokana na hilo ndo maana wakiona mtu anaongea wasichotaka wao kukisikia basi wanamuona ana chuki dhidi ya JPM

In short, source ilikuwa hotuba ya Mzee Makamba, na kama kawaida yao, akaanza kumwagia sifa Samia! Wakati akiendelea na hizo sifa, ndipo akasema maneno haya:-

Baada ya kuongea hayo hadi JK akashika kichwa...

Sasa Mzee Makamba akaona amekosea kusema "Ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine" na katika kujikosha, ndipo akasema maneno haya:-

Sasa akina MTAZAMO ndo wanaona Makamba kamaanisha Magufuli alikuwa mtu mbaya ndo maana amekufa kumbe alikuwa anajikosha kutokana na kauli yake kwa SSH kwamba akiondoka kabla ya '25 Mungu atawapa mtu mwingine...

Cha ajabu, hata Mzee Mkapa amefariki... lakini kutokana na paranoia, wao wanaona kasemwa JPM...

Msikilie mwenyewe hapa...


"Ukiondoka kabla ya 2025"

Utata wenyewe umeanzia hapo, unaweza kufafanua kipi kimemfanya awaze hilo la Samia na kutokufika hiyo 2025? Halafu anamalizia watu wazuri hawafi.
Sasa hapo vinahusiana vp kufa kabla ya 2025 na suala la watu wazuri?
 
"Ukiondoka kabla ya 2025"

Utata wenyewe umeanzia hapo, unaweza kufafanua kipi kimemfanya awaze hilo la Samia na kutokufika hiyo 2025? Halafu anamalizia watu wazuri hawafi.
Sasa hapo vinahusiana vp kufa kabla ya 2025 na suala la watu wazuri?
Yote uliyoouliza nimeyasema kwenye post hiyo hiyo uliyoi-quote! Kama unatarajia jibu lingine tofauti na hayo, SINA!
 
Mungu alishalipa 17 march 2021 kwa wale aliowafanyizia.
Wale watu 5 waliouwa na bomu pale Soweto kwenye mkutano wa chadema wakati huo rais akiwa jk na katibu mkuu wa ccm akiwa kinana huyo mungu wako atalipa lini?

Vipi mungu wako atalipa lini ile kadhia ya Mwangosi na Ulimboka?
 
Wakati mume wake anaendesha ukatili hakujua mwisho wa mumewe utakuwa mbaya? Hapo alipo anapewa mrejesho wa udhalimu wa mumewe.
Kwani magu alikufanyia ukatili?
 
Naona una kaalbum kabisa ka picha za jpm..hongera
Asante sana mkuu. Niambie boss mzima lakini
images.jpeg
 
Ukweli ni kwamba Lissu kupona ndio kulikomfanya yule dikteta afe maana hakuamini ameponaje. Kupona kwa Lissu ndio kilikuwa kifo Cha dikteta. Damu ya mtu ni nzito kuliko maji.
Vipi damu ya mwangosi?

Vipi ile ya chacha wangwe?
 
Back
Top Bottom