Sikiliza trend ya mazungumzo alikuwa anaongea akimlenga nani, akaja na hilo la shemeji.
Pili asingeshindwa kusema Bashiru ni shem wangu, na sidhani kama wana ukaribu wa kuitana shemeji
..nimesikiliza hotuba ya Mzee Makamba.
..alipozungumzia masuala ya ushemeji alikuwa anajenga hoja yake kumshambulia Dr.Bashiru.
..Mzee Makamba mke wake ni Mhaya. Na Watanzania tuna utamaduni wa kuwaita shemeji / wifi wenyeji wa maeneo walikotoka wenza wetu.