If you don't mind, let me ignore you coz' I doubt if you're worthy my time... sorry!Kiazi kweli wewe!
If you don't mind, let me ignore you coz' I doubt if you're worthy my time... sorry!Kiazi kweli wewe!
Kwa hiyo 2025 utashinda kwa kishindo?Kalinde kaburi chato. Kumpenda hakuzuii ukweli kuwa lilikuwa jizi la kura.
Kutowaongeza mishahara watumishi wa serikali kama sheria inavyotaka, kwani wao siyo raia wa kawaidaAjue hayuko peke yake. Kila raia wa kawaida ambao ndio tupo wengi bado tunabubujikwa machozi. Na hawa tunajua Mungu atawalipa kwa namna ya ajabu. Maana chozi la mnyonge halitadunda bure sakafuni.
Hata madikteta wanacheka na kutabasamu
Acha kutetea hizi takataka zako!Kama umeme bado ni shida na maji ni shida Magufuli alisaidia Nini?
Pole kwake walimwengu ndivyo walivyoHabari mama,
Pole sana kwa msiba wa mumeo!, alikuwa great leader na wananchi wengi wanamkumbuka kwa utumishi wake ingawa ulikuwa mfupi kuliko kiongozi yeyote aliyetawala nchi yetu...
Zetu? How? Andika kwa umoja sio uwingi🤤JPM atabaki kwenye ndimi zetu kwa mda mrefu sana.
Hakuna haki bila wajibu.Kutowaongeza mishahara watumishi wa serikali kama sheria inavyotaka, kwani wao siyo raia wa kawaida
Huyo ni wa kwetu Tunasema omukaya ghete ghete
🙌🙌🤣Asante sana mkuu. Niambie boss mzima lakiniView attachment 2440338

Hujawahi kuwa na akili, fukara wewe.Acha uchochezi na uchongqnishi mleta mada. Hakuna aliyemnanga jiwe leo. Hayo ni mawazo yako tu.
Hebu mtaje mtu aliyemtaja jiwe kwa jina lake. Vinginevyo ni uzushi na uzandiki tu unaojaribu kuueneza.
Unazungumzia ubunge na udiwani si ndio? Maana kwenye upande wa urais mlisha ridhia kwamba hiyo ni nafasi ya ccm tu nyie mtagawana nao ubunge na udiwani tu.Unadhani hatujui tofauti ya chaguzi chini ya Magufuli na nyingine? Kabla ya Magufuli CCM ilikuwa inaiba kura, na bado wapinzani walikuwa wanazidi kuongezeka. Magufuli alipoona kuiba hakutampa kura atakazo zaidi ya fedheha, akaamua kupora mchakato wa uchaguzi. Kama hujui tofauti ya hili basi huna ujualo.
Upo tena unajengeka kwa kasi ...wewe huoni wanavyo fanya madudu ya kuumiza nyoyo za watz ....ukiona hayo ujue ndiyo mwisho unajongea wapo katika pumzi ya mwisho wewe huoni wanavyo raruana wao kwa wao kwa chuki kubwa. Tena magufuli ndiye kawa sumu ya kuiangamiza ccm kwa sababu wanapambana na marehemu kwa kuwakomoa raiaKila siku tumesema CCM inaanguka but still ipo huo mwisho unaousema haupo Kijana narudia haupo may be kizazi hiki kiishe kije kingine
Hilo lipo wazi kwa kila mwenye akili, na hata leo kikibuka chama kitakachokuja na falsafa zilezile bado kitawasumbua sana CCM.
Wanaokufa ni wabaya tu, alisikika mlevi mmoja akibwabwaja.Walisema nini?Nani hasa aliesema vibaya Hadi Rais Samia...akaingilia..
Sijaona ulipoeleza kwanini Mzee makamba azumgumzie suala la Samia kama itatokea akafariki kabla ya 2025.Yote uliyoouliza nimeyasema kwenye post hiyo hiyo uliyoi-quote! Kama unatarajia jibu lingine tofauti na hayo, SINA!