Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,999
- 27,974
Sasa we una utajiri gani kapuku wewe? Mtu unategemea mshahara wa kupiga domo, simu yenyewe kila leo ukipiga screenshot inaonekana ni INFINIX, utajiri upi?? Mafukara mna mambo ya hovyo sana.Sawa miongoni mwa wasio na akili na maskini waliohitaji faraja alikuwa anakubalika ndio japo sio kwa wakulima..
Madikteta wote huwa wanajifanya kuipigania maskini Ila huwa Ni maneno meeengi hivyo hivyo kina Nyerere
Akili gani ulizonazo kiasi cha kuwaita wenzio wajinga, kama Nyerere hakuwa na akili umewahi kujiuliza kwanini hakuwa babako? Watu kama nyinyi hata mimi nanyunyiza tu risasi.