Walikuwa wanakimbizana na rushwa, polisi tz na mahakama vimeoza kwa ufisadiHalafu bado vijan wadogo ...karibuni uraiani
Habari za kakonko ndugu!Oya hio PGO nimegoogle kirefu chake ni Police General Order ina nini mbona kila mtu anaitaja humu?, kuna habari gani kuhusu hilii, nimekua bussy sana
Aijulie wapi?Makosa waliyoyafanya hao Polisi huenda yameandikwa katika PGO zao.....ila kwakuwa ni vilaza na hawajui PGO na wanafanya kazi kwa mazoea wamevuna walichopanda....
Na huenda huyo mkuu aliyetoa adhabu na yeye haijui PGO vile vile
Wasamehewe walimfuata mhalifu mjanjaPathetic!!! Yan mwendesha pikipiki alikua mjanja kuliko polisi wetu!!! Alijua akikimbilia nchi jiran polisi hana sheria inayomlinda huko!! Askali wetu hawakujua hilo!?? Hatari jamani!!!
Na siyo mhalifu.Wasamehewe walimfuata mhalifu mjanja