Songwe: Askari waliovuka mpaka kuingia Malawi kinyume cha sheria wafukuzwa kazi

mibiki mitali

JF-Expert Member
Feb 5, 2018
238
392
Septemba 15 askari Polisi wa Tanzania waliingia Malawi kinyume cha sheria wakimfukuza bodaboda waliyedhani amebeba biashara ya magendo ambapo walipoingia Malawi walipigwa mawe na wamalawi na kuokolewa na Polisi wa Malawi

Askari 7 wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi

Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe Janeth Magomi amethibitisha tukio hilo

Pia soma: Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu
 
Askari wapatao saba wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Janeth Magomi amethibitisha.
View attachment 1947487
ni sahihi,huwa hairuhusiwi mpaka kuwe na vibali maalumu
 
Askari wetu wanapaswa kuboreshewa mafunzo. Wana matatizo mengi
hapo tatizo sio mafunzo,ni tamaa tu mkuu maana mafunzo yapo wazi kabisa miaka yote kwamba kuingia na sare ya kijeshi nchi ya watu ni marufuku,wangeshirikiana na wenzao wa kule isingekuwa noma
ila hii issue kuna mengi zaidi ya hapo,hizo gari za jeshi huwa zinapakiwa vutuoni na kutoka ni mpaka ruhusa hivo basi ma boss wao lazima waliwatuma tu
 
hapo tatizo sio mafunzo,ni tamaa tu mkuu maana mafunzo yapo wazi kabisa miaka yote kwamba kuingia na sare ya kijeshi nchi ya watu ni marufuku,wangeshirikiana na wenzao wa kule isingekuwa noma
ila hii issue kuna mengi zaidi ya hapo,hizo gari za jeshi huwa zinapakiwa vutuoni na kutoka ni mpaka ruhusa hivo basi ma boss wao lazima waliwatuma tu
Labda walikua doria
 
Hii ndio taarifa mpya kutoka kwenye Jeshi la Polisi Tanzania , Idadi ya Polisi waliofutwa kazi ni 7

Siku chache zilizopita tuliripoti tukio la Polisi wa Ileje kushambuliwa nchini Malawi na magari yao kuharibiwa baada raia wa Malawi kupinga askari wageni kuvamia nchi yao.

Hii ni wiki ngumu sana kwa Polisi, huku haya yakitokea kule kwingine kuna PGO!

---
Septemba 15 askari Polisi wa Tanzania waliingia Malawi kinyume cha sheria wakimfukuza bodaboda waliyedhani amebeba biashara ya magendo ambapo walipoingia Malawi walipigwa mawe na wamalawi na kuokolewa na Polisi wa Malawi

Askari 7 wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi

Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe Janeth Magomi amethibitisha tukio hilo
 
Septemba 15 askari Polisi wa Tanzania waliingia Malawi kinyume cha sheria wakimfukuza bodaboda waliyedhani amebeba biashara ya magendo ambapo walipoingia Malawi walipigwa mawe na wamalawi na kuokolewa na Polisi wa Malawi

Askari 7 wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi

Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe Janeth Magomi amethibitisha tukio hilo
 
Back
Top Bottom