mibiki mitali
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 238
- 392
Septemba 15 askari Polisi wa Tanzania waliingia Malawi kinyume cha sheria wakimfukuza bodaboda waliyedhani amebeba biashara ya magendo ambapo walipoingia Malawi walipigwa mawe na wamalawi na kuokolewa na Polisi wa Malawi
Askari 7 wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi
Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe Janeth Magomi amethibitisha tukio hilo
Pia soma: Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu
Askari 7 wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi
Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe Janeth Magomi amethibitisha tukio hilo
Pia soma: Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu