Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Huyu mama ana matatizo yake binafsi, na ndio yanasababisha hata utendaji wake na kauli zake ziwe na utata!
 
Hakuna che Feminism, Chauvanism, Lesbianism wala nini katika utendaji wa kazi. That is very personal na wakati mwingine ni kama kisingizio ama defensive mechanism. Alipopewa hiyo kazi ya Uwaziri hakupewa kwa sababu ni Mwanamke alipewa kwa sababu ya sifa zake na utendaji wake wa kazi. Hakukuwa na kigezo cha feminism ingawa rais aliahidi uwakilishi wa kutosha wa kijinsia. Sasa tujiulize mpaka sasa hivi tumepata nini kutoka kwake yeye Sofia Simba?

Ushauri wangu: JF ingeanzisha opinion poll ya Mawaziri wote wa JK aka Muungwana aka VASCO based on their perfomance katika kipindi chote cha miaka mitano.
Kumbuka statement ya Mkulu wakati wa Kutangaza mawaziri 2006 ''Uwazirii hausomewii''.. SS hapo kwenye elimu anakinga.
 
Ukweli kawshangaza wengi kawa kauli zake zisizo na ukweli na zenye lengo la kupotosha umma. Sasa swali liko kwa bosi wake kwa nini hajamwajibisha kinidhamu/kitabia/kimaadili n.k.
 
Nafikiri tatizo la viongozi wetu hapa Tanzania ni ujengaji wa hoja....tuna tatizo kubwa sana hapo.Na SS si exception.Mara nyingi mtu anashindwa kujenga hoja na anaishia ku-attack watu tu.Yaani huwa inanichefua sana...

Halafu huwa wanashindwa kutofautisha wakiwa na misimamo yao binafsi au ofisi kwa ujumla.Najua inakuwa ni ngumu ila madhara yake mara mtu anaposhindwa kujipambanua vizuri ni makubwa zaidi.
 
Neno uzalendo halifanani kabisa na raia kwa maana mtu una weza ukawa raia nasi mzalendo wa nchi yako ila ukiwa mzalendo unahaki zaidi ya kuitwa raia wanchi yako ! Jamani kutoa taarifa sehemu husika juu ya matatizo au matukio mbalimbali yanayo tokea nchini kwetu nimiongn ni mwa njia mbadala ya kueleke na kuwa Mzalendo !
From:- Jacob Chenga
 
Mtashinda ndio kwa kulaghai wanyonge kwa T-shirts,kanga na pilau.Ikiwezekana hata kwa kuiba kura na kutishia usalama wa raia wapenda haki.Lakini mwisho wake upo,Hakunaga barabara ndefu isiyo na mwisho,hata ndoto nzuri huwa inaisha.
Kuna ambavyo havina mwisho, kwa mfano bahari, duara, wizi wa kura..... n.k
 
LOL. Ushindi ni lazima kwa CCM. Tutashinda hata iwe vipi kwani upinzani Bongo umelala na wanaangalia maslahi binafsi tu!

Mr FoulPlayer give a break. Chama Cha Mafisadi ndio manaangalia maslahi ya nchi? It would suffice to insult the intelligence of ignorant Tanganyikans, but insulting your ownintelligence show who you. I wouldn't be surprised if somebody will tell me Sophia simba is you aunt.
 
Niliwaambia tangu mwaka 2007 mwezi february hapa kuhusu milioni 200 alizonyanganywa Kilango na wakina GOGO, leo wamesemana wenyewe....mnakumbuka wakati wa kashfa za JK?
 
Kwa muda mwingi viongozi wanawake wa TZ, hawapewi respect kama viongozi wanaume.

Maneno anayojibiwa Mheshimiwa Sophia Simba ni ushahidi wa kutosha kwamba, viongozi wanawake ndani ya TZ wanakazi ndefu ya kupigania haki zao. Kuna maneno mengi ambayo yalitamkwa na viongozi wa kiume bila ya kuwa na ushahidi, lakini hatukuona majibu yasiyokuwa na respect kutoka ktk viongozi wa CCM kama tunavyoona sasa hivi.

Kwa mfano, Mrema na Mtikila, hawa viongozi walikuwa wanazungumza watakavyo bila ya kuwa na ushahidi, lakini hawakuwahi kuitwa " Chizi" "Mwendazimu" au "Kichaa". Ubaguzi wa Wanawake ndani ya TZ ni moja ya tatizo kubwa ambalo linatakiwa litatuliwe haraka iwezakanyo.

Mheshimiwa Simba na viongozi wengine wa kike wajibiwe kwa hoja na si kuambiwa "Machizi" "Mal** nk.

mmmh .... kama ni kumsafisha hii labda umchune ngozi,maji haya hayatamwosha vizuri!!
 
Mkuu John10
Sofia binti Simba anam atatizo ya malezi wala si suala la jinsia au ujinsia. Tabia yake inaonesha makuzi yake yana utata. Hata akisoma mpaka wapi, tabia ni ka rangi ya mwili huwezi kuibadili. Sofia si mtu wa kupewa dhamana kubwa kiasi hicho, kosa linarudi kwa aliyempa dhamana, ina maana hakujua au nae ndo Sofia Simba zaidi?
 
Huyu ni kichaa hiyo ndiyo njia sahihi ya kumwadress hakuna ingine she is mentally sick!! hivi ukiwa uchi bila kuvaa nguo mtu akikwambia ukweli nao kuna gender power imbalance? au watu wamesema alivyo, she is just a whole to be precise!! mwanamke wa kiafrika, aliyelelewa vizuri na anayeishi na kujieshimu hawezi kusema aliyoyasema na kutukana watu ambao wanamzidi umri huyu anaonekana ni changudoa!! na Rais alitakiwa awe amemwajibisha akiwa Cairo na si vinginevyo!! ili alinde heshima ya akina mama particulally wa Pwani.Kama huyu ndo representative wa wanawake wa pwani hata akapewa uwaziri kuna kazi!!! kama bwana mkubwa ataendelea kumfuga!! ya mama Kahama watu walikaa kimya sasa kama hata mtu amekuwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais wa JMT anaweza kutukanwa na Changudoa kiasi hiki kisa ni mwanamtandao na mtu wa pwani kazi ipo !! Kama hivyo ndivyo Rais wa nchi anataka kujitambulisha kwetu!!
Mungu ibariki Tanzania!! tuondolee hii fedheha!!
 
Kumbuka statement ya Mkulu wakati wa Kutangaza mawaziri 2006 ''Uwazirii hausomewii''.. SS hapo kwenye elimu anakinga.

Mkuu umenijibu wasiwasi niliokuwa nao kuhusu uwezo wa mkuu wa kaya kuongoza kaya kumbe hata ukuu wa kaya hausomewi... hivyo tutegemee usaniii.
 
Huyu ni kichaa hiyo ndiyo njia sahihi ya kumwadress hakuna ingine she is mentally sick!! hivi ukiwa uchi bila kuvaa nguo mtu akikwambia ukweli nao kuna gender power imbalance? au watu wamesema alivyo, she is just a whole to be precise!! mwanamke wa kiafrika, aliyelelewa vizuri na anayeishi na kujieshimu hawezi kusema aliyoyasema na kutukana watu ambao wanamzidi umri huyu anaonekana ni changudoa!! na Rais alitakiwa awe amemwajibisha akiwa Cairo na si vinginevyo!! ili alinde heshima ya akina mama particulally wa Pwani.Kama huyu ndo representative wa wanawake wa pwani hata akapewa uwaziri kuna kazi!!! kama bwana mkubwa ataendelea kumfuga!! ya mama Kahama watu walikaa kimya sasa kama hata mtu amekuwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais wa JMT anaweza kutukanwa na Changudoa kiasi hiki kisa ni mwanamtandao na mtu wa pwani kazi ipo !! Kama hivyo ndivyo Rais wa nchi anataka kujitambulisha kwetu!!
Mungu ibariki Tanzania!! tuondolee hii fedheha!!

Mkuu tafuta mahusiano ya Sofia, lowasa na Mohamed khatibu na mkuu wa kaya,ndo utajua jeuri hii anaipata wapi.hawajakutana barabarani hawa walianzia Dodoma area C/D..........weneywe wanajua azungumzia nini.../
 
ndugu zangu,

Mheshimiwa Sophia simba amemtia aibu sana mkuu wa kaya,ambaye alimwamini na kumpa wadhifa wa kuwa waziri mwenye wadhifa wa utawala bora. je utawala bora ni kuwa na kinywa kichafu namna hii, tena mbele za kamati iliyoteuliwa na rais ya kina mzee mwinyi,maneno aliyoyatamka yanatia kaibu na yameidhihirisha tabia iliyoko ndani yake.

anawezaje kutamka kuwa lowassa ni mwanamume wa shoka,sijui anaonewa wivu kwa ajili ya pesa zake,sijui mh kilango amukosa i first lady ndio maana anawaandama watu na kuwaita maafisadi.

kweli tanzania we have long way to go! KAMA HAWA NDIO VIONGOZI TULIONAO
 
mi navyoona huyu mama wisdom a.k.a sophia sijui kama anajitambua yeye ni nani katika jamii! maneno aka mijityusi kama ilivyokaririwa na baadhi ya vyombo vya habari aliyoyatamka mbele ya waheshimiwa wenzake ni fedheha na aibu kwake kama mama, mwanamke, waziri tena mwenye dhamana ya utawala bora na taifa kwa ujumla.
nimesema ni fedheha na aibu tena aibu ya mwaka kwa sababu zifuatazo.
1.yeye kama mama hukupaswa kuongea maneno ya hovyophovyo kwani naamijni ni mama w familia tena inayomuheshimu sana kama mama.
2. kama mwanamke amejidhalilisha sana kwani kwa asili mwanamke ameumba kwa haiba ya aibu, heshima iliyotukuka na ndo maana kule kwetu, mwanamke hata kama ni mkubwa kiumri anaposalimiana na mtoto wa kiume ni lazima aonyeshe heshima kwa mtoto huyo. pia mwanamke ameumba kwa hekima kama jina lake, maana ya sophia ni wisdom, ustahimilivu na uvumilivu. yeye kama mwnamke ameshidwa kuyafanya hayo na kutambua nafasi yake kama mwanamke.
3.kama waziri, sophia simba ni sehemu ya serikali kwa maana nyingine ni muwakilishi wa rraisi, yeye ni rais kwa maana nyingine kwa dhamana aliyopewa ya utawala bora. hainingii akilini ninaposikia akisema ndanim y achama cha mapinduzi hakuna asiye fisad. maana ya sentensi hiyo ni kwamba hata mwenyekiti wake ambaye ni rais wa jamhuri ya tz ni fisad-haiewezekani, tena ni fedheha kwa nchi yetu, rais awe fisad!? najkushauri mama yangu mpendwa uwaombe watanzania msamaha kwa kumtukana rais wao, kwani rais hawezi kuwa fisad na kama kweli ni hivyo bac kwanini wewe(mama wisdom) usjiuzulu nafas yako au ndo kwa vile na kama ulivyosema hakuna asiye fisad ilimaanisha na wewe ni fisad wa kike? mimi kama mwanao (nina miaka 25) naamini naweza kuwa mwanao kabisa sina shaka na hilo mama, naomba wewe ndo uwe wa kwanza kujiuzulu kuilinda hiyo wizara unayoiongoza mama, ani wizara nyeti sana kwani vyombom vyote vy usalama viko mikonono mwako.
mwisho naomba rais wetu mpendwa umuwajibishe huyu mama yetu kwa kukukosea na taifa lako kwa ujumla, usijali tutakual nini sisi wapwao kwani wengi wetu tumeanza kujitegemea ndo maana hat tunasubutu kuyasema hayo.
 
Mkuu tafuta mahusiano ya Sofia, lowasa na Mohamed khatibu na mkuu wa kaya,ndo utajua jeuri hii anaipata wapi.hawajakutana barabarani hawa walianzia Dodoma area C/D..........weneywe wanajua azungumzia nini.../

Du!!! JF kiboko!!! yaani mnapekuwa hadi uvunguni??? Shida kidhibiti!!
 
Kwa muda mwingi viongozi wanawake wa TZ, hawapewi respect kama viongozi wanaume.

Maneno anayojibiwa Mheshimiwa Sophia Simba ni ushahidi wa kutosha kwamba, viongozi wanawake ndani ya TZ wanakazi ndefu ya kupigania haki zao. Kuna maneno mengi ambayo yalitamkwa na viongozi wa kiume bila ya kuwa na ushahidi, lakini hatukuona majibu yasiyokuwa na respect kutoka ktk viongozi wa CCM kama tunavyoona sasa hivi.

Kwa mfano, Mrema na Mtikila, hawa viongozi walikuwa wanazungumza watakavyo bila ya kuwa na ushahidi, lakini hawakuwahi kuitwa " Chizi" "Mwendazimu" au "Kichaa". Ubaguzi wa Wanawake ndani ya TZ ni moja ya tatizo kubwa ambalo linatakiwa litatuliwe haraka iwezakanyo.

Mheshimiwa Simba na viongozi wengine wa kike wajibiwe kwa hoja na si kuambiwa "Machizi" "Mal** nk.

Naomba useme ubaguzi ndani ya cc em siyo TZ Mkuu!
 
Umasikini wa M-Tz ni kuto kujua haki yake ya msingi akiitumia vilivyo itambadilishia maisha yake! Inakatisha tamaa ukiona hata hapa mjini kuna asilimia kubwa tu ya WASOMI lakini hawajishughulishi na kujiandikisha kupiga kura wala kugombea uongozi, kwa hiyo CCM mpaka kiama.... AMKENI
 
Niliwaambia tangu mwaka 2007 mwezi february hapa kuhusu milioni 200 alizonyanganywa Kilango na wakina GOGO, leo wamesemana wenyewe....mnakumbuka wakati wa kashfa za JK?

Busted busted busted

Umepatikana na uongo wako. Kama painstruth alivyokuwa busted juzi.

Wewe unasema kuwa uliliambia jamvi hili mambo fulani mwaka 2007 feb wakati umejiunga na JF kwa jina la haki sawa mwezi October 2007.



Haki Sawa
Join Date: Wed Oct 2007
Posts: 76
Thanks: 1
Thanked 5 Times in 5 Posts
Rep Power: 23


Nipe muda kidogo nimtafute aliyetoa hiyo habari.

Teh teh teh
 
jamani naomba kuuliza maana kuuliza si ujinga

Hivi unapotaka kuanza New thread unakwenda vipi
 
Back
Top Bottom