FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
dadangu ni mlugurumdengeleko yule matusi kwake ni jadi
dadangu ni mlugurumdengeleko yule matusi kwake ni jadi
Ni wakati MUAFAKA sasa CCM ipasuke. Chama kinachoshika DOLA hakipaswi kuwa hivi.
Mwanakijiji, be fair to Sophia Simba, mbona husemi kasema nini jana?.
Huyu si ndiyo yule mama uliyemfanyia interview mwaka jana mwanakijiji kwenye radio yake alafu akachemsha sana tuu alafu ukamtetea?au namfananisha?.
Kulikoni now?.
Mwanakijiji, be fair to Sophia Simba, mbona husemi kasema nini jana?. Kwa kusaidia huyu mama katapika mbovu, kaiponda ripoti ya kina Mwakiembe haikuwa ya nia njema. Kamponda mama Kilango kuwa alikuwa akiuza madawa ya kulevya. Kaponda Mzee Malechela kwa kampeni yake kuutafuta urais ilifadhiliwa na Jeethu Patel fedha za ufisadi wa Epa. Kamponda Spika Sitta ndiye aliyeileta Richmond alipokuwa TIC, Kaisoma barua nzima ya Kashilila kwenda Takukuru kuhusu Posho mbili na kuonyesha unafiki wa Spika Sitta, kathibitisha wamefanya uchunguzi na kuthibitisha hakukuwa na rushwa kwenye richmond, ndipo kashauri ufanyike uchunguzi huru kuweka mambo sawa. Hili ndilo kosa lake?.
mwenyewe anajitta "mtoto wa mjini" hakopeshi. Na kama ni kuwapasha watu jana amewapasha watu.
I truly think that the likes of this Fisadi Sofia Simba must gracefuly relinquish the position and go for Tanzania to realise the so called 2025 vision. This country needs a change. "He who rejects change is the architect of decay. The only human institution which rejects progress is the cemetery". ~Harold Wilson
Sophia SImba anaweza asiwe fisadi kama tuwa juavyo. Tatizo ni kwamba yeye ana tegemea watu kubaki alipo na ni lazima awa tetee hao watu. Sophia Simba ni samaki mdogo sana. Trust me she is a non issue. Tatizo ni kwamba yeye ni waziri na anafanya mambo kama mswahili.
Malizia basi mkuu, ...na ametumwa na mswahili mwenzake!