Ukweli ni kwamba kwa sasa hii si aibu ya huyu mama any more! Ni aibu ya waliomtuma (i mean kina Rostam, Chenge na Lowassa). Actually amewaharibia badala ya kuwasaidia. Hususan Lowassa huyu mama ameivuruga kwa kiasi kikubwa sana ndoto yake ya kurudi juu kisiasa. Anatakiwa kumkana. Kitu ambacho it is impossible!
Pili amemuharibia sana Kikwete. Kikwete leo nasikia kaenda Misri. lakini sijua akirudi ataficha wapi sura. Ni aibu sana kwa upande wake. Hii ndio timu yake wanaofanya kazi pamoja with common goals! Nadhani itabidi afanye kitu wanachotegemea watu wengi. Kumuomba huyu mama apumzike. This is also impossible!
Mwisho na kubwa zaidi ni aibu kwa taifa, hususan taswira yetu nje imechafuka sana. Imagine wale waliomtunuku Mama malecela tuzo, leo hii wanasikia Waziri anayehusika na usalama wa taifa kamtusi na kumwita fisadi. O boy!
Mwisho hii ni aibu kwa CCM yote. Lakini kwa bahati mbaya hawana aibu hao. Wameshakufa ganzi tayari.
Watanzania tuna bahati mbaya kwa kweli. Poor me!
Pili amemuharibia sana Kikwete. Kikwete leo nasikia kaenda Misri. lakini sijua akirudi ataficha wapi sura. Ni aibu sana kwa upande wake. Hii ndio timu yake wanaofanya kazi pamoja with common goals! Nadhani itabidi afanye kitu wanachotegemea watu wengi. Kumuomba huyu mama apumzike. This is also impossible!
Mwisho na kubwa zaidi ni aibu kwa taifa, hususan taswira yetu nje imechafuka sana. Imagine wale waliomtunuku Mama malecela tuzo, leo hii wanasikia Waziri anayehusika na usalama wa taifa kamtusi na kumwita fisadi. O boy!
Mwisho hii ni aibu kwa CCM yote. Lakini kwa bahati mbaya hawana aibu hao. Wameshakufa ganzi tayari.
Watanzania tuna bahati mbaya kwa kweli. Poor me!