William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
1. ?Na ikithibitika mirembe kuwa Sofia ni timamu,mzee Malecela atakuja na hoja gani tena ya kutuzuga?Au ndiyo hii ya kuzaa na wanaume za watu?
2. Mkuu unayo ripoti ya daktari wake kuthibitisha huo ukichaa wa Sofia?
3. Yah siyo kichaa kwa sababu mpaka sasa sijaiona ripoti yoyote ya kitabibu inayoonyesha kuwa Sofia kichaa.Na wewe utatuthibitishia vipi kwamba siyo kichaa na hizi hoja zako mufilisi?
4. Hayo mengine ni nonsense sitapoteza muda kuyajibu.
- Irrelevant na pure waste of my time kukujibu, one minute unasema akipimwa je, halafu the next minute unasema hana ugonjwa wa kichaa, subiri apimwe kwanza mkuu acha longo longo!
FMEs!