Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Tunamuonea bure Sophia Simba; hayo maneno aliyoyasema huko kwenye kamati ya Mwinyi sio maneno yake bali ametumwa na Jakaya! She is just a mouthpiece!!Na ndio maana hata msemeje hawezi kumuondoa kwenye Cabinet. Hiyo ndio style ya utawala wa kikwele.


Uwezekano kuwa ametumwa na Jakaya ni mkubwa sana. Ni mswahili mwenzie. Bila shaka alimteua kwenye baraza lake la mawaziri kwa kazi hii ya mipasho. Ni aibu!
 
Jamani nisaidie mimi, kwa kweli natamani kujua huyu sofia Simba ni nani. Anao uhusiano wowote na Iddi Simba? Je nani mme wake na anafanya nini? Hivi mwaweza kunikumbusha kile Kinyang.anyiro cha UWT alipambana na nani? Hivi huyu Sofia kweli ana watoto? na Dini? Aliye wahi kukutana na huyu Mama naomba amwage data zake tujue kama huwa ana aibu au kama hana kabisa!! Mimi namsifu sana kwamba ndiye mtu pekee aliyejitokeza kuwapigania mafisadi akiamini kuwa mafisadi papa wasiozidi kumi na vibarua wao wasiiofika elfu kumi wanaweza kushinda umma wa Watanganyika. Sijui siku umma tutakapoamua kutumia nguvu zetu kama RA na EL watamchukua kwenda uajem,i au atafilia mbali? Mungu ibariki Tanzania
 
Mie naombea Sophia Simba ajibu mapigo zaidi.

Panzi siye tutafaidi zaidi. Kweli ukitaka kuuwa Nyoka......... Hii style waliitumia Mafisadi kuwamaliza Malecela na Sallim. Na sasa naona wanataka kuanza kuitumia against Dr. Slaa na wapinzani wao ndani ya CCM.

Nafikiri Sitta na Mwakyembe, selleli, Sendeka ........kama wanataka kuwa na uhai zaidi ndani ya Siasa, basi inabidi wafanye kikao haraka sana ndani ya CCM na kijadili na kumaliza kabisa udhia wa Richmonduli.

Halafu Sitta, Makongoro Mahanga si ana PhD feki? Hivi hamuwezi kutafuta vifungu vya sheria ili kumkaanga huyu mtu? Mkimmaliza Makongoro, itakuwa mmepunguza makali wengi wengi. Watu ambao bunge linaweza kuwashughulikia na wakawa terminated ni Makongoro, Lowassa, Karamagi, Chenge na Rostam Azziz. Mkiwamaliza hawa basi mtapumua kwa muda, kabla na nyie kibao hakijawageukia. Ila wananchi wanaweza kusamehe madhambi yenu kama mtawaondoa hao Nyangumi.
 
kama nilivyosema hapo awali

Mengi kaingia mwenyewe kwenye huo mtego ...na narudia, he is not as smart as we think he is

ni reactionary na kwa kuisoma tuu hiyo taarifa inaonekana kuwa washauri wake wanamwogopa...na sidhani kama alikutana na mawakili wake

why pick a fight na Sofia in the first place?

sasa Mengi keshalikoroga kilichobaki alinywe

kuhusu PINDA

kuna mtu kasema ni serious..yes ni serious lakini hamtishi mtu kwa sababu bado yuko stuck in 1970's

ukitaka kujua kama jamaa ni useless, jiulize iweje leo hii 2009 bado ana politics of envy? one minute hataki wabunge wavae suti next minute anaagiziwa suti 70 Paris na ana anazivaa

bogus kabisa, na zaidi ukitaka kujua u bogus wake tazama website ya ofisi yake, haina policy yoyote ile zaidi ya propaganda utafikiri bado tuko kwenye siasa za ujamaa

eti mawaziri na wabunge watembelee vibajaji!

kama ndio hivyo kwanza angehama kwenye lile hekali lililotumia ma bilioni ya walalahoi na ahamie nyumbani kwake
 
huyu mama pua yake tu ilivyo unamjua kuwa ni mtu wa makuu!!!1.

anakera sana
 
Nilishasemaga siku nyingi sana watu wakanitukana, hawa wazee wazee wanaong’ang’ania madaraka Tanzania ni wapumbavu sana. Akili ni mbili, na brain zao zinafikiria kwamba money can buy all. Kweli Mengi akaita PC kusema haya? What a looser and an idiot… Kweli sasa naabelieve all Mengi bulshit kupigania haki za watanzania ni Business expansion strategies. WATANZANIA WENZANGU ANZENI KUFUNGUA MACHO….
 
Huyu Mengi anapenda sana publicity, kwa kuwa sasa hivi focus ipo Dodoma anaona kama kasahauliwa anakumbushia na mimi nipo.

Habari sio kuthibitisha yeye CCM ingekuwa habari kama yeye angetangaza kuacha kuchochea makundi ndani ya CCM na "makamanda" wake akina Sitta, Mwakyembe et al.

nah!

the man is just idiot period

na inathibitisha kuwa the so called WAPIGANAJI nao ni MA ****** kama yeye

one minute wanakuambia kuwa CCM yote imeoza

next minute Mengi anawaambia kuwa yeye pia ni mwanachama wa CCM

sasa cha kujiuliza je ile mbiu ya wapiganaji kuwa CCM wote wameoza bado ipo?
 
Kwa muda sana nilikuwa nikidhani CCM itavunjika wakati wowote, lakini trend iliyopo sasa inaniambia tofauti, mwenyekti wa Chama amewaacha wanachama wake kuwa huru kutoa dukuduku zao... hili lina mawili - aidha livunje chama, au liimarishe chama...
Wale wenzangu na mimi tunaodhani uhuru huo wa kujieleza unaweza vunja chama... huenda ikawa vice versa. just observing and listening
 
kama nilivyosema hapo awali

Mengi kaingia mwenyewe kwenye huo mtego ...na narudia, he is not as smart as we think he is

ni reactionary na kwa kuisoma tuu hiyo taarifa inaonekana kuwa washauri wake wanamwogopa...na sidhani kama alikutana na mawakili wake

why pick a fight na Sofia in the first place?

sasa Mengi keshalikoroga kilichobaki alinywe

kuhusu PINDA

kuna mtu kasema ni serious..yes ni serious lakini hamtishi mtu kwa sababu bado yuko stuck in 1970's

ukitaka kujua kama jamaa ni useless, jiulize iweje leo hii 2009 bado ana politics of envy? one minute hataki wabunge wavae suti next minute anaagiziwa suti 70 Paris na ana anazivaa

bogus kabisa, na zaidi ukitaka kujua u bogus wake tazama website ya ofisi yake, haina policy yoyote ile zaidi ya propaganda utafikiri bado tuko kwenye siasa za ujamaa

eti mawaziri na wabunge watembelee vibajaji!

kama ndio hivyo kwanza angehama kwenye lile hekali lililotumia ma bilioni ya walalahoi na ahamie nyumbani kwake

GT wakati mwingine unaongea points.. at last i should admit 🙂Viongozi wa Tanzania wengi ni 50's school graduates.. na hawataki maendeleo ya kweli, ni maneno tu. Mengi had my respects but he has take it away..Nafikiri huyu jamaa he is not as smart as he really believe in himself and if he really wants people to keep supporting him he should start to learn to shut up and be politically neutral. Na pia sasa kama yeye ni CCM je nikisema kelele zake na RA ni za chama na Business nitakuwa nimekosea?
 
nah!

the man is just idiot period

na inathibitisha kuwa the so called WAPIGANAJI nao ni MA ****** kama yeye

one minute wanakuambia kuwa CCM yote imeoza

next minute Mengi anawaambia kuwa yeye pia ni mwanachama wa CCM

sasa cha kujiuliza je ile mbiu ya wapiganaji kuwa CCM wote wameoza bado ipo?

Leo una hasira sana GT hadi unaongea pumba kaa kitoto cha chekechea
 
GT wakati mwingine unaongea points.. at last i should admit 🙂Viongozi wa Tanzania wengi ni 50's school graduates.. na hawataki maendeleo ya kweli, ni maneno tu. Mengi had my respects but he has take it away..Nafikiri huyu jamaa he is not as smart as he really believe in himself and if he really wants people to keep supporting him he should start to learn to shut up and be politically neutral. Na pia sasa kama yeye ni CCM je nikisema kelele zake na RA ni za chama na Business nitakuwa nimekosea?

Kitu gani alichochukua too far?

Nyie ndio mna mambo ya 50's, mnadai kuwa Mengi sio smart lakini pia na nyie mnafanya almost the same thing mnachompinga Mengi. Kitu gani alichokosea hapo?

Kuweni specific
 
yes na wapo wengi kama wewe ambao mnamshangilia mwakyembe na ujambazi wake wa kuchukua posho mara mbili mbili,na kumuona si mkosaji pale alipoongoza kamati ya kuchunguza Richmond wakati kumbe na yeye ana kampuni yake anataka ianze kuzalisha umeme....

Hakika wewe ni mmoja wao...
 
1+1=11 is it not right? This what CCM are doing in this country and its people that we are correct cant you see the results?
 
kama nilivyosema hapo awali

Mengi kaingia mwenyewe kwenye huo mtego ...na narudia, he is not as smart as we think he is

ni reactionary na kwa kuisoma tuu hiyo taarifa inaonekana kuwa washauri wake wanamwogopa...na sidhani kama alikutana na mawakili wake

why pick a fight na Sofia in the first place?

sasa Mengi keshalikoroga kilichobaki alinywe

kuhusu PINDA

kuna mtu kasema ni serious..yes ni serious lakini hamtishi mtu kwa sababu bado yuko stuck in 1970's

ukitaka kujua kama jamaa ni useless, jiulize iweje leo hii 2009 bado ana politics of envy? one minute hataki wabunge wavae suti next minute anaagiziwa suti 70 Paris na ana anazivaa

bogus kabisa, na zaidi ukitaka kujua u bogus wake tazama website ya ofisi yake, haina policy yoyote ile zaidi ya propaganda utafikiri bado tuko kwenye siasa za ujamaa

eti mawaziri na wabunge watembelee vibajaji!

kama ndio hivyo kwanza angehama kwenye lile hekali lililotumia ma bilioni ya walalahoi na ahamie nyumbani kwake

Mengi's move not a smart move?
I dont think so, though it was blunt!
Mambo CCM sasa yamekuwa pata shika,zile nyimbo za mshikamano,umoja na amani zinaanza kuyoyoma.
Mengi ni kweli amedandia reni kwa mbele, na ni mwanachama kama alivyoeleza, kama alivyo Rostam.
How long he will hold on huko mbele ya bodi la treni no one knows.
But he has thrown a spanner into the works.
Je Sofia ataweza kuhimili mapigo toka kwa Mengi,Malecela, Anne Kilango ,Sitta na Dr Mwakyembe wanaoonekana kuwa upande mmoja?
Give a thrower many targets and she might probably miss all!!
Na hapo ndo sponsors wake itabidi wajitokeze hadharani.
Si jambo la kushangaza kuwa Lowassa na wapambe wake bado wanapiga proxy punches and half jabs.
Wanaweza kujitokeza wakati wowote wakiona mambo sasa vurugu mechi ,na wanaelekea kufungwa goli.
Katika hali kama hii CCM inaweza kuparaganyika, na si ajabu makonde hatimaye visu na mapanga vikajitokeza.
Itabidi JK atumie uwezo wake wote, ambao haujaonekana mpaka sasa hivi, kuviweka pamoja vichwa vya wanachama wake.
Na haya ndio makokea halisi ya mtandao.
Kayanza Mizengo Pinda is of the 70's?You dont know him sir!
He has played his cards right so far.
Please cross check his back ground and you might just
Ukiondoa suti na mashangingi which at any rate rings right to the Tanzanian mass,hajakosea kitu so far.
Just keep a close watch on him.
He is the only high ranking official who can be deadly honest and be blunt about it.
Zanzibaris can attest to this.
 
Back
Top Bottom