Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
Mkuu Sikonge mbona hujasema kuna wengine wanasimamia kweli maana wanaamini hiyo kweli itawaweka huru?Bila kusahau wengine wanaosukumwa na nguvu za uzalendo, chachu ya mabadiliko na kutaka kuiona Tanzania njema.
Mkuu AmaniGK,
Umenikumbusha kisa kimoja. Jamaa mmoja alifungwa jela na mkewe akaamua kumsaidia. Akaenda kutembea nje ya ndoa wakati mumewe yuko jela na akaenda kumwambia mumewe "maasi" aliyoyafanya. Mumewe kuja juu, akamwambia kafanya hivyo kwa mapenzi ya juu sana kwa mumewe. Na alipofanya tu kaamua kuja kuwambia kwa sababu "kweli itamuweka huru".
Yes, kuna kweli nyingi. Hata Lowassa ana kweli yake ambayo anaamini itamuweka huru. Rostam, Chenge, Hosea, Mengi, Sophia Simba...... wote wana kweli yao ambayo wanaamini "itatuweka huru".