Wife kakupiga marufuku nini?
Kwa heri ya kuonana....
Wanabodi heri ya mwaka mpya kwenu wote
Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuwepo hapa kwa muda mrefu kidogo...Lakini pia niwashukuru nyote kwa kunipokea. Tumeishi vizuri na mmekuwa msaada kwangu kwa kipindi nilichokuwepo hapa. Ila kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu sitakuwa na ninyi kama tulivyozoea. Kwa wale wenye simu yangu nadhani tutawasiliana huko..nitakuwa nje ya social networks kwa muda.
Binafsi ntawamiss sana ila imebidi.
Mwenyezi Mungu awabariki sana
Ndimi wenu mdogo SnowBall
Wakati unaandika haya wewe SnowBall, ulijua kuwa kuna wengine tushakuwa na matatizo ya kung'amua mambo?
Hebu mweleze vizuri babu akuelewe....
Babu DC!!
Wakati unaandika haya wewe SnowBall, ulijua kuwa kuna wengine tushakuwa na matatizo ya kung'amua mambo?
Hebu mweleze vizuri babu akuelewe....
Babu DC!!
karibu tena na ID yako mpya.