I wanna miss u saana...
Anataka Kujua Kama Mlimkubali Au La! Haend Popote Huyu!
Honey Moon nini mkuu?
Babu si unajua zile sababu zilizo juu ya uwezo?
Imebidi tu mkuu wangu..
Na nadhani sikuwaangusha kipindi chote nilichokuwepo
This is my last thread...msalimie bibi bana
babu DC ww kwa uelewa wa kibabu unahisi anaenda kuanza safari na mzee wa Monduli??safari imeanza jana tar/1/2014, aah aha aah
Nijuavyo mimi kijana wetu mpira wa kwenye barafu anaenda kuukwaa ukuu wa walala nje.....
Hivi umeamua kuingia humu kwa jina gani? kuna mtu ktk kuchat PM alivyoona amejulikana MMU akatoka kwa mtindo huu huu
Mkuu karibu tena kijiweni kwetu...
Btw hata mimi nishaanza kuona dalili za kuiaga JF...
hii naona ni janja ya nyani tu...!
kwani kuna cost gani kuingia humu? hivi huwezi kuingia jf wakati maybe uko safarini ndani ya basi, ama ndege, ama meli?
na mifoleni yoote hii ya dar, 2hours on road.. kwanini nisijipotezee mastress kwa kulog in na kuongea na warembo kama Ennie.. Heaven on Earth.. miss chagga.. Mrembo by Nature na wengineo?
sidhani kama unaweza kuwa busy kiasi hicho! hata kama ni ofisi.. lazima utachungulia mails na kuzijibu pia..! au sio kaka Arushaone? hata baba paroko Eiyer, kashindwa kujizuia kule parokiani.. anatoroka na kuingia jf..! no way!! otherwise uje na id nyingine!!! hivi kweli itapita wiki sijaingia jf????
nilivyoingia jf hata sikumbuki.. ila kutoka..mmh!! shida!!
SnowBall usiniambie kwamba hautokuwa hata unaangalia mails zako..! hautoingia fb! hautoijua twitter wala insta wala badoo!! sasa sijui utaishi paradize ama vipi??
by the way, maisha mema huko uliko!
hii naona ni janja ya nyani tu...!
kwani kuna cost gani kuingia humu? hivi huwezi kuingia jf wakati maybe uko safarini ndani ya basi, ama ndege, ama meli?
na mifoleni yoote hii ya dar, 2hours on road.. kwanini nisijipotezee mastress kwa kulog in na kuongea na warembo kama Ennie.. Heaven on Earth.. miss chagga.. Mrembo by Nature na wengineo?
sidhani kama unaweza kuwa busy kiasi hicho! hata kama ni ofisi.. lazima utachungulia mails na kuzijibu pia..! au sio kaka Arushaone? hata baba paroko Eiyer, kashindwa kujizuia kule parokiani.. anatoroka na kuingia jf..! no way!! otherwise uje na id nyingine!!! hivi kweli itapita wiki sijaingia jf????
nilivyoingia jf hata sikumbuki.. ila kutoka..mmh!! shida!!
SnowBall usiniambie kwamba hautokuwa hata unaangalia mails zako..! hautoingia fb! hautoijua twitter wala insta wala badoo!! sasa sijui utaishi paradize ama vipi??
by the way, maisha mema huko uliko!