Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 881
Nilichogundua kitu kimoja ni kuwa simu zinazotoka sms hizi ukipiga unapata error messages. Mojawapo ya simu hizo ni hii: 0757 079316. Na wanaofanya hivyo wamegundua kuwa Jeshi letu na UwT hawana uwezo wa kutrace simu za wireless na hivyo kuacha simu hizo kutumika kama vifaa vya matishio kwa watu wengine.
Kingunge kisha kufa bado kuzikwa tu. Wazee wa mikoa ya Mbeya, Rukwa na Ruvuma wanamlinda Mwakyembe kwa udi na uvumba. Huo mpango wao wa kumwua Mwakyembe utawarudia wenyewe.Kuna sms mbili ambazo nimezipata tangu juzi. Moja inamhusu kijana Julius Mtatiro aliyekuwa mmoja wa viongozi wa TAHLISO. Hiyo sitaizungumzia sana kwa sasa lakini ni dokezo kwa watawala wajue tunajua wanachopanga.
Lakini ya pili ndio imenishtua sana kwani nimeipata usiku wa manane hapa kijijini. Mara nyingi ninapopata hizi za usiku wa manane basi najua ni jambo zito na nyeti. Nilikoipata na nilivyozunguka kuona kama watu wengine wameipata nimeshangaa jinsi ilivyosambaa kwa kasi.
Imekuja kama ile sms iliyotangaza kifo cha Zitto akiwa Mombasa wakati yeye mwenyewe akiwa hai na wiki moja baadaye tukasikia kifo cha Wangwe. Huwa sishei messages hizi hadharani lakini hii nimeombwa na watu ambao majina yao si mageni kabisa masikioni mwenu. Hivyo naitoa kama ilivyo nikiacha muamue kama kuna mtu mwingine kaipokea, kuna ukweli, ni uzushi wa kupuuzia, ni njama za kuchafuana au ni jambo ambalo la kupuuzia.
Nilichogundua kitu kimoja ni kuwa simu zinazotoka sms hizi ukipiga unapata error messages. Mojawapo ya simu hizo ni hii: 0757 079316. Na wanaofanya hivyo wamegundua kuwa Jeshi letu na UwT hawana uwezo wa kutrace simu za wireless na hivyo kuacha simu hizo kutumika kama vifaa vya matishio kwa watu wengine.
Message yenyewe inasema hivi:
..wanaweza.
..kila simu ina ID yake, hivyo wakitaka hawatatumia namba ya kawaida, bali ID ya simu.
..kumbuka kuwa, wahalifu wote hufanya makosa na wengine hawako-smart kihivyo. so, atafanya kosa dogo litakalomnasa. at times, it needs sometime and maybe a lot of it!
..hamna kinachoshindikana, bali nia ndio hukosekana katika mambo kama haya.
Ahsante...
Kwa kifupi ata ukibadilisha sim cards kila dakika IMEI yako inabaki ile ile na always watakulocate.
bila kusahau kuwa hata kama kazima simu yake wanaweza kuiwasha remotely na wakapata kila kitu includi voice msgs zake
nashangaa anasema eti hakuna anayeweza kujua ID yake
uzuri ni kuwa analeta changamoto ndio maana mpaka sasa hivi anapokea hizo txt msgs otherwise wangeshampelekea msg zamani gani
Sumu hiyo (allegedly) imeingizwa nchini
majuzi na Rostam kutoka Dubai. Muuaji anavaa glove ya
sumu na kumsalimia mlengwa kwa kumgusa.
Imenikumbusha story ya yule Agent wa DS aliyeuwauwa pale Westiminster kwa mwamvuli.
By the way wakati wa Olympics raia wengi wa nchi za magharibi waliambiwa wakizima simu zao watoe batteries maana wachina walikuwa wanajaribu kuziwasha remotely na kuactivate microphone.
Again, swali ni serikali yetu iko willing kumtafuta huyo mtu?
Kwani glove lazima iwe na rangi ya njano au blue ?
Nyie subirini tu, mtaona maajabu.
Kuna sms mbili ambazo nimezipata tangu juzi. Moja inamhusu kijana Julius Mtatiro aliyekuwa mmoja wa viongozi wa TAHLISO. Hiyo sitaizungumzia sana kwa sasa lakini ni dokezo kwa watawala wajue tunajua wanachopanga.
Lakini ya pili ndio imenishtua sana kwani nimeipata usiku wa manane hapa kijijini. Mara nyingi ninapopata hizi za usiku wa manane basi najua ni jambo zito na nyeti. Nilikoipata na nilivyozunguka kuona kama watu wengine wameipata nimeshangaa jinsi ilivyosambaa kwa kasi.
Imekuja kama ile sms iliyotangaza kifo cha Zitto akiwa Mombasa wakati yeye mwenyewe akiwa hai na wiki moja baadaye tukasikia kifo cha Wangwe. Huwa sishei messages hizi hadharani lakini hii nimeombwa na watu ambao majina yao si mageni kabisa masikioni mwenu. Hivyo naitoa kama ilivyo nikiacha muamue kama kuna mtu mwingine kaipokea, kuna ukweli, ni uzushi wa kupuuzia, ni njama za kuchafuana au ni jambo ambalo la kupuuzia.
Nilichogundua kitu kimoja ni kuwa simu zinazotoka sms hizi ukipiga unapata error messages. Mojawapo ya simu hizo ni hii: 0757 079316. Na wanaofanya hivyo wamegundua kuwa Jeshi letu na UwT hawana uwezo wa kutrace simu za wireless na hivyo kuacha simu hizo kutumika kama vifaa vya matishio kwa watu wengine.
Message yenyewe inasema hivi:
MADELA WA-MADILU umenena, glove zinazosungumzwa hapa si zile kama za kuendeshea pikipiki au za hospitali bali ni glove za kumfanya mhusika asipate madhara na anachokishika na haziwezi kuonekana kwa macho ya kawaida na si rahisi hata kuhisi unapogusana na mtu aliyevaa hizo glove.
Kubenea sasa amejanjaruka, zamani alitumiwa sms za vitisho na mara ya kwanza aliambiwa kuhusu gari na baadaye likaunguzwa kwelo japo hayakuwa madhara makubwa, akakoswa koswa kugongwa na gari (aligongwa kidogo) baada ya kutumiwa sms ya kujulishwa, ikaja sms ya kuvamiwa akavamiwa kweli, akapata ujumbe mwingine kuhusu polisi akavamiwa kweli.... Na mara zote akiwaambia watu, wanasema, "wewe acha woga, mtu anayetaka kufanya kweli hatumi sms".
Lengo hasa ni kutisha ili watu wasiwafuate fuate na usipotishika wanakujaribu ukiendelea na jeuri sasa wanafanya kweli.
Kuna mbinu za kukabiliana na vitisho hivyo, na kwa wengine tuliovizoea kwa zaidi ya miaka saba sasa, tumekua tukipambana navyo na hata hapa nilipo napambana na ndio maana naandika ujumbe huu ikiwa ni saa 10.10 Alfajiri hapa nyumbani Tanzania nilipo kwa sasa
Haya mambo mwambieni ndugu yetu Masatu kwa sababu yeye anadhani eti ni udaku. Yapo, yapo, yapo!
Lakini ya pili ndio imenishtua sana kwani nimeipata usiku wa manane hapa kijijini. Mara nyingi ninapopata hizi za usiku wa manane basi najua ni jambo zito na nyeti. Nilikoipata na nilivyozunguka kuona kama watu wengine wameipata nimeshangaa jinsi ilivyosambaa kwa kasi: