Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Kwa nini huyo kalokiro insider ameamua kutoa ujumbe huu kupitia kwa watu wengine badala ya security organs?
Kwa nini ameutoa ujumbe huu sasa hivi na si kabla 'sumu' haijaingizwa?
Kuna watu wana utamaduni wa kusalimiana wakiwa wamevaa gloves tanzania?
Kwani glove lazima iwe na rangi ya njano au blue ?