Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Again, swali ni serikali yetu iko willing kumtafuta huyo mtu?
Mwanzoni yes lakini ikaonekana anafanya kazi nzuri sana za kuwakeep bize baadhi ya watu so ile option ya Bologna ikawekwa kwenye tray.
la hasha serikali iko bize na kushughulikia ufisadi na bad news left and right
Again i repeathakuna ambaye anashindikana kama serikali inaamua kutumia resorces zake ...bear that in mind.Hata bin Laden wangemtaka wangepata ndio itakuwa huyo anayesema eto hakuna mwenye habari zake!