SMS hizi! Ungefanyaje?

SMS hizi! Ungefanyaje?

WAHAYA kwa mbwembwe, we acha tu! Mujuni na mkewe Kokubanza wanaishi Dar. Walienda likizo kijijini kwao huko Bukoba. Wakiwa huko wakawa wanaitana DARLING, DARLING. Wahaya wa kijijini wakainasa hiyo kwamba hao wanaishi Dar ndio maana wanaitana Darling. Kwa sababu ya ujuaji wala hawakutaka kuuliza maana ya Darling. Walipoondoka tu nao wakaanza kuitana kila mtu na mkewe BUKOLING, BUKOLING eti kwa kuwa wanaishi Bukoba! Chezea wahaya kwa misifa wewe!

Cheki kimombo cha polisi wa bongo baada ya kumkamata mzungu:

Yesterday I saw you at the maize shop (jana nilikuona dukani kwa muhindi). When you saw me you started to six six (uliponiona ukaanza kusitasita). When I follow you run and plant a car (nilipokufuata ukakimbia na kwenda kupanda gari). Now your down of security (sasa upo chini ya ulinzi). Sleep and snake well before I cut you a millet (lala nyooka vizuri kabla sijakukata mtama)



Hehee hayo ndo mambo ya ze mimi ze naomba maj buana
 
SALA MAALUMU

Familia moja ilitembelewa na wageni.Wakati wa wageni kuondoka ulipofika wakamwambia mtoto wao mdogo aombe wageni waende salama,akaanza:-

"Ee Mungu nashukuru kwa kunipa wazazi wakarimu,nashukuru kwa kuwaleta hawa wageni waliomaliza chakula changu...naomba usiwalete tena wakati wa kula.

Mungu bariki wasichana wote walio uchi katika simu ya baba wapate nguo.

Mungu pia wajalie wasichana wanaoingia chumba cha kaka wapate sausage zao...waache kunyonya ya kakangu.

Pia punguza hasira za watchman wetu...aache tabia ya kuingia chumba cha dada kila usiku na tabia ya kumrukia kwa hasira kitandani na kumpigisha nduru.

Mwisho mungu bariki wanaume wote wanaokuja kulala na mama wakati baba yupo safarini wapate vitanda vyao..Amen!!"





Sala itaisha hapo mwsho umesemaje??
 
Kesi wa Marangu

Baada yakutoka kwenye ibada ya pasaka, Kessy alipita kwenye moja moto moja baridi. Pombe zikaanza kumpanda taratibu akaanza kukumbuka ibada sehemu ambapo Yesu anakaribia kukamatwa na kuteswa. Akaanza kuimba kwa sauti...

... Mateso yake Bwana wetu Yesu Kristu, Kama yalivyoandikwa na Luka...
...Wakati uke, Yesu alipokuwa na wafuasi wake, akasema...

Mara akawaona watu ambao sura zao hazieleweki wakiingia kwenye bar, wakiangalia huku na huku. Kessy akashituka, lakini baadae akaendela kuimba

Kessy: .... Mwamtafuuta naaaani...?

Wale watu wakadakia: ... Kessy wa Marangu...

Kessy wa Marangu akaona makubwa haya, akashindwa kuendelea kuimba kwa sababu maneno yaliyokuwa yanafuata yanatakiwa yawe ... Niii mimiiii....



Hahaa endelea ww
 
Roho Mbaya

Ona watu walivyo na roho mbaya!;

Jamaa alishukiwa na Malaika wa Mbinguni akaambiwa "Omba chochote unachotaka utapewa, lakini jirani yako atapewa mara mbili". (Mfano: Ukiomba PRADO jirani yako atapewa PRADO mbili, nawe utapata moja).

Jamaa akafikiria sana kwa muda kisha akamwambia Malaika "Nitoe jicho moja"



Duh! Hahahaa
 
My girlfriend left a note on the fridge "It's not working. I can't take it anymore. I am going to my Mom's place"
I opened the fridge. The light came on. The beer was cold... What the hell is she talking about?

Hapa pagumu msaada plz
 
wakati wa Kombe la TAIFA CUP lililoshindanisha Mikoa, Mkoa wa Kilimanjaro kulikuwa na wachezaji kama vile MARTINI KIKWA, ONESMO MBORO na wengineo
Mechi kati ya Iringa na Kilimanjaro Onesmo Mboro akaumia kwa hiyo asingeweza kucheza Mechi inayofuata na Tanga
kabla ya siku 3 ya mechi Magazeti yakatoka na kichwa cha Habari 'KILIMANJARO KUCHEZA BILA MBORO' Kocha wao akalalamika sana vichwa vya habari vibadilishwe upesi kabla ya siku ya mechi nayo yakaandika 'KILIMANJARO KUCHEZA WAKATI MBORO NJE' Kesho yake Uwanja ukajaa mashoga kibao na wadada wakitaka kushuhudi urefu na ufupi wao



Aiyaa!!!
 
Ukiweza nakupa Zawadi!


Kuna MTOTO alikuwa analia juu ya KABURI alipiulizwa unalilia nini akajibu KAKA wa MKE wa MAITI ni MJOMBA WANGU. JE MAITI NI NANI HAPO?
maiti baba yako.
 
Padri alikuwa anafuga kuku, siku moja jogoo waka alipotea akaamua kutangaza kanisani.

Padri: Waumini wangapi wana jogoo? Wanaume wote wakasimama!
Padri: Sio hivyo, wangapi wameona jogoo? Wanawake wote wakasimama.
Padri: Hamjanielewa, wangapi wameona jogoo wangu? Masister wote wakasimama!

Padri akatimua mbio! Je padri alikimbia nini?

Huyo padre noma masister wote kawaduu
 
I love the way you lie!
Wasukuma watatu walienda mjini kwa ndugu yao. Walipofika wakapewa soda wakanywa. Mmoja akachukua kisoda akaweka mfukoni, akamnong'oneza mwenzake "NASOLA MBIYU (nimechukua mbegu) TUKAHAMBE NUBHISE UKUKAYA TUNONINO UTWENUTU (tukapande na sie nyumbani utu tumaji tutamu)".

Chezea Wasukuma wewe!
 
Mama mmoja alikuwa anapika supu,
akamtuma mwanawe limao,
Mtoto wakati yuko juu ya Mlimao akapita Tajiri mmoja akamuona mtoto ------ wazi,
tajiri akamshusha akampa pesa 50,000/= za kununua nguo na chakula,
Mama kuona mtoto kapata pesa, na yeye akapanda juu ya mlimao bila chupi,
Tajiri akamshusha akampa sh. 100 akamwambia kanunue wembe,
Unadhani tajiri kaona nini?
 
Back
Top Bottom