HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 878
- Thread starter
- #381
Sheria ya usingizi ya mwaka 2013, ibara ya 2, inasema "ndoto ni haki ya msingi ya kila asinziae". Kifungu cha 3(c) cha sheria hiyo kinampa haki mtu yeyote kulala, kuota na kumtakia njonzi njema mtu ampendae. Hivyo basi, kwa kutumia haki yangu hiyo ya kisheria nakutakia usiku mwema.