Mama mmoja alikuwa anapika supu,
akamtuma mwanawe limao,
Mtoto wakati yuko juu ya Mlimao akapita Tajiri mmoja akamuona mtoto ------ wazi,
tajiri akamshusha akampa pesa 50,000/= za kununua nguo na chakula,
Mama kuona mtoto kapata pesa, na yeye akapanda juu ya mlimao bila chupi,
Tajiri akamshusha akampa sh. 100 akamwambia kanunue wembe,
Unadhani tajiri kaona nini?
JINSI YA KUMUAMSHA MWANAMKE KUSWALI SWALA YA ALFAJIRI
MUME; AMKA MPENZI
MKE ; KIMYA
MUME ; MAMA WATOTO AMKA SWALAA
MKE ; KIMYA
MUME ; WEE MWANAMKE AMKA MUDA WA SWALAA UMEFIKA NAKWAMBIA ...
MKE ; KIMYA
MUME ; NATAKA KUKWAMBIA NIMEPELEKA POSA NATAKA KUOA
MKE ; NINIIII UNASEMAAAJE
MUME ; ALAAAAA KUMBE UPO MACHO haya wakati wa SWALAA UMEFIKA HAYA AMKA
chezea mke wenza weye
Mke mwenye Wivu alipanga mpango amfumanie Mumewe kuwa anatembea na HouseG,
akamsafirisha asubuhi huyo beki3 bila mumewe kujua.
Ilipofika usiku Baba akamwambia mkewe kuwa naenda Sebuleni kuangalia mpira Ligi ya UK kuna Man-U
Basi hapo mke akanyemelea chumbani kwa beki 3 na kulala uchi bila kuwasha taa.
Jamaa akaingia na kupiga bao zake 5 alipotaka ya 6 Mama akaruka NIMEKUKAMATA leo mbona mm unapigaga bao 2 tu unachoka?
Du kumbe Mlinzi wao yeye kwa hofu AKAPIGA YOWE MAYUWANEEE sikujua km ni wewe mke wa boss
Hapo mzee chele zikamcheza akafungua mlango ..........