Kakajambaz Jr
Member
- Oct 4, 2012
- 59
- 13
mfalme mmoja aliwaita wananchi wake akawaambia 'namtaka shujaa atakaye weza kuogelea na kuvuka kwenye huu mto wa mamba nitamuozesha bint yangu na kumpa nusu ya ufalm....'
kabla ya kumalizia akasikia 'pwaaah'.jamaa kaogela mpaka upande wa pili.mfalme akasema 'nitakupa bint yangu na nusu ya ufalme wangu' jamaa akasema 'sitaki bint yako wala zawadi zako,namtaka huyo bw**g* alyenisukuma humu mtoni'
kabla ya kumalizia akasikia 'pwaaah'.jamaa kaogela mpaka upande wa pili.mfalme akasema 'nitakupa bint yangu na nusu ya ufalme wangu' jamaa akasema 'sitaki bint yako wala zawadi zako,namtaka huyo bw**g* alyenisukuma humu mtoni'