SMS hizi! Ungefanyaje?

HP1

JF-Expert Member
Feb 4, 2012
3,362
874
Kuna SMS nyingi zimekuwa zikitumwa zenye vituko. Tupia yako hapa. Baadhi ni:

****************************
Mke: Naomba tuongee mume wangu
Mume: Ongea
Mke: Ni kuhusu huyu house girl wetu
Mume: Hilo ni tatizo lako, halinihusu
Mke:Ana mimba
Mume: Hilo ni tatizo lake, halinihusu
Mke: Kasema ni yako
Mume: Hilo ni tatizo langu, halikuhusu

****************************

Jamaa alikuwa anasafiri kwenda ulaya, akamwambia dereva wake ampeleke airport. Wakiwa njiani akakumbuka kuna document amesahau, akamwamuru dereva ageuze gari. Alipofika nyumban akamkuta mkewe akiwa bafunianaoga, akaamua kumnyemelea na kumshika kiuno. mke akiwa na mapovuusoni akalitaja jina la dereva, "We Hancy, umeshamfikisha yule ms**ge Airport? Acha nikuoshee utafaidi mwezi mzima. Je, ungekuwa wewe ungefanya nini?

****************************
Maongezi ya mama mkwe na binti wa kileo
Mama mkwe: Binti samahani lakini, kusema ukweli mtoto hafanani na kijana wangu
Binti: Bila samahani mama, huku chini nina njia ya uzazi na sio mashine ya photocopy! Tena ukome kunifatilia

****************************
Leo watoto kuanzi miaka mitatu kushuka chiniwameandamana kuelekea ustawi wa jamii kudai kuibiwa jina kao la BABY na kupewa watu wazima na mindevu yao na matiti yao wanaitana BABY. Vipi wewe unahusika na unyanyasaji huo?

****************************
 
*************************************

Mrembo alipokea simu ngeni na mambo yalikuwa kama hivi:
Simu: Hellow una boy friend?
Mrembo: Ndio nine. Kwani we nani?
Simu: Mimi baba yako. Kumbe una boy friend ukirudi utanitambua. Simu ikakatika akiwa na mawazo nini afanye. Simu ikaita tena kwa namba ngeni.
Simu: Hello una boy friend?
Mrembo: Hapana sina!
Simu: Vipi mpenzi ina maana unanisaliti?
Mrembo: Hapana BABY nilijua baba!
Simu: Ni mimi baba yako nilitaka kuhakikisha tu kama kweli una boy friend. UTANIKOMA LEO!

*********************************

Fikiria ingemuwa baba yako ni Remmy Ongala, na mama yako Anne Makinda. Mjomba wako ni Mizengo Pinda na shangazi yako ni Anna Mkapa. Babu yako ni Stephen Wasira na bibi yako ni Bi. Kidude. Je sura yako ingekuwaje?

***********************************

Mwanasheria alimuuliza Lulu, Mbona wewe malaya sana? Lulu akajibu, Rose Muhando ndio malaya kwani Ameonja hadi Utamu wa Yesu. Mwanasheria akaguna!!

************************************
 
Kuna SMS nyingi zimekuwa zikitumwa zenye vituko. Tupia yako hapa. Baadhi ni:

****************************
Mke: Naomba tuongee mume wangu
Mume: Ongea
Mke: Ni kuhusu huyu house girl wetu
Mume: Hilo ni tatizo lako, halinihusu
Mke:Ana mimba
Mume: Hilo ni tatizo lake, halinihusu
Mke: Kasema ni yako
Mume: Hilo ni tatizo langu, halikuhusu

****************************

Jamaa alikuwa anasafiri kwenda ulaya, akamwambia dereva wake ampeleke airport. Wakiwa njiani akakumbuka kuna document amesahau, akamwamuru dereva ageuze gari. Alipofika nyumban akamkuta mkewe akiwa bafunianaoga, akaamua kumnyemelea na kumshika kiuno. mke akiwa na mapovuusoni akalitaja jina la dereva, "We Hancy, umeshamfikisha yule ms**ge Airport? Acha nikuoshee utafaidi mwezi mzima. Je, ungekuwa wewe ungefanya nini?

****************************
Maongezi ya mama mkwe na binti wa kileo
Mama mkwe: Binti samahani lakini, kusema ukweli mtoto hafanani na kijana wangu
Binti: Bila samahani mama, huku chini nina njia ya uzazi na sio mashine ya photocopy! Tena ukome kunifatilia

****************************
Leo watoto kuanzi miaka mitatu kushuka chiniwameandamana kuelekea ustawi wa jamii kudai kuibiwa jina kao la BABY na kupewa watu wazima na mindevu yao na matiti yao wanaitana BABY. Vipi wewe unahusika na unyanyasaji huo?

****************************
hii ya kwanza dingi katisha
 
Kuna SMS nyingi zimekuwa zikitumwa zenye vituko. Tupia yako hapa. Baadhi ni:

****************************
Mke: Naomba tuongee mume wangu
Mume: Ongea
Mke: Ni kuhusu huyu house girl wetu
Mume: Hilo ni tatizo lako, halinihusu
Mke:Ana mimba
Mume: Hilo ni tatizo lake, halinihusu
Mke: Kasema ni yako
Mume: Hilo ni tatizo langu, halikuhusu

****************************

Jamaa alikuwa anasafiri kwenda ulaya, akamwambia dereva wake ampeleke airport. Wakiwa njiani akakumbuka kuna document amesahau, akamwamuru dereva ageuze gari. Alipofika nyumban akamkuta mkewe akiwa bafunianaoga, akaamua kumnyemelea na kumshika kiuno. mke akiwa na mapovuusoni akalitaja jina la dereva, "We Hancy, umeshamfikisha yule ms**ge Airport? Acha nikuoshee utafaidi mwezi mzima. Je, ungekuwa wewe ungefanya nini?

****************************
Maongezi ya mama mkwe na binti wa kileo
Mama mkwe: Binti samahani lakini, kusema ukweli mtoto hafanani na kijana wangu
Binti: Bila samahani mama, huku chini nina njia ya uzazi na sio mashine ya photocopy! Tena ukome kunifatilia

****************************
Leo watoto kuanzi miaka mitatu kushuka chiniwameandamana kuelekea ustawi wa jamii kudai kuibiwa jina kao la BABY na kupewa watu wazima na mindevu yao na matiti yao wanaitana BABY. Vipi wewe unahusika na unyanyasaji huo?

****************************

Duh.. uyo mdingi mnoko
 
mtoto: baba baba sheli inaunguwa
baba: kwa mshtuko akauliza sheli gani
mtoto; sheli na bela sheli na ngai ai mama
baba: pambafu
 
Wanandoa na wapenzi waliodumu zaidi ya miaka 20 wamebainika kuwa na ugonjwa wa KISUKARI. utafiti unaonyesha kuwa wanaugua ugonjwa huo kwa sababu ya majina wanayojiita, kama vile my HONEY, my SWEET, my SUGAR, my BANANA, my hot CHOCOLATE. Mkinge mpenzi wako na KISUKARI kwa kumwita my PIRITON, my CHOLOROQUINE, my CHILL SAUCE, my SHUBIRI. Imetolewa na WIZARA YA YA WAPENDANAO.
 
NANI MWENYE MAKOSA?

Mwanamke aliyelala na mumewe akawa anaota, ghafla akapiga makelele, "Jifiche mume wangu kaja", au mumewe aliyesikia hivyo akanyakua nguo na kukimbia akidhani amelala na mke wa mtu? Nahitaji mawazo yako.
 
NANI MWENYE MAKOSA?

Mwanamke aliyelala na mumewe akawa anaota, ghafla akapiga makelele, "Jifiche mume wangu kaja", au mumewe aliyesikia hivyo akanyakua nguo na kukimbia akidhani amelala na mke wa mtu? Nahitaji mawazo yako.

hahahahahahaha,hakuna mwenye kosa ngoma dro
 
Wanandoa na wapenzi waliodumu zaidi ya miaka 20 wamebainika kuwa na ugonjwa wa KISUKARI. utafiti unaonyesha kuwa wanaugua ugonjwa huo kwa sababu ya majina wanayojiita, kama vile my HONEY, my SWEET, my SUGAR, my BANANA, my hot CHOCOLATE. Mkinge mpenzi wako na KISUKARI kwa kumwita my PIRITON, my CHOLOROQUINE, my CHILL SAUCE, my SHUBIRI. Imetolewa na WIZARA YA YA WAPENDANAO.

kwi kwi kwi
 
NANI MWENYE MAKOSA?

Mwanamke aliyelala na mumewe akawa anaota, ghafla akapiga makelele, "Jifiche mume wangu kaja", au mumewe aliyesikia hivyo akanyakua nguo na kukimbia akidhani amelala na mke wa mtu? Nahitaji mawazo yako.
UMENIACHA HOI!umenifanya mchana uwe mzuri!
 
NANI MWENYE MAKOSA?
Mwanamke aliyelala na mumewe akawa anaota, ghafla akapiga makelele, "Jifiche mume wangu kaja", au mumewe aliyesikia hivyo akanyakua nguo na kukimbia akidhani amelala na mke wa mtu? Nahitaji mawazo yako.
hapo chacha
 
Back
Top Bottom