HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 874
Kuna SMS nyingi zimekuwa zikitumwa zenye vituko. Tupia yako hapa. Baadhi ni:
****************************
Mke: Naomba tuongee mume wangu
Mume: Ongea
Mke: Ni kuhusu huyu house girl wetu
Mume: Hilo ni tatizo lako, halinihusu
Mke:Ana mimba
Mume: Hilo ni tatizo lake, halinihusu
Mke: Kasema ni yako
Mume: Hilo ni tatizo langu, halikuhusu
****************************
Jamaa alikuwa anasafiri kwenda ulaya, akamwambia dereva wake ampeleke airport. Wakiwa njiani akakumbuka kuna document amesahau, akamwamuru dereva ageuze gari. Alipofika nyumban akamkuta mkewe akiwa bafunianaoga, akaamua kumnyemelea na kumshika kiuno. mke akiwa na mapovuusoni akalitaja jina la dereva, "We Hancy, umeshamfikisha yule ms**ge Airport? Acha nikuoshee utafaidi mwezi mzima. Je, ungekuwa wewe ungefanya nini?
****************************
Maongezi ya mama mkwe na binti wa kileo
Mama mkwe: Binti samahani lakini, kusema ukweli mtoto hafanani na kijana wangu
Binti: Bila samahani mama, huku chini nina njia ya uzazi na sio mashine ya photocopy! Tena ukome kunifatilia
****************************
Leo watoto kuanzi miaka mitatu kushuka chiniwameandamana kuelekea ustawi wa jamii kudai kuibiwa jina kao la BABY na kupewa watu wazima na mindevu yao na matiti yao wanaitana BABY. Vipi wewe unahusika na unyanyasaji huo?
****************************
****************************
Mke: Naomba tuongee mume wangu
Mume: Ongea
Mke: Ni kuhusu huyu house girl wetu
Mume: Hilo ni tatizo lako, halinihusu
Mke:Ana mimba
Mume: Hilo ni tatizo lake, halinihusu
Mke: Kasema ni yako
Mume: Hilo ni tatizo langu, halikuhusu
****************************
Jamaa alikuwa anasafiri kwenda ulaya, akamwambia dereva wake ampeleke airport. Wakiwa njiani akakumbuka kuna document amesahau, akamwamuru dereva ageuze gari. Alipofika nyumban akamkuta mkewe akiwa bafunianaoga, akaamua kumnyemelea na kumshika kiuno. mke akiwa na mapovuusoni akalitaja jina la dereva, "We Hancy, umeshamfikisha yule ms**ge Airport? Acha nikuoshee utafaidi mwezi mzima. Je, ungekuwa wewe ungefanya nini?
****************************
Maongezi ya mama mkwe na binti wa kileo
Mama mkwe: Binti samahani lakini, kusema ukweli mtoto hafanani na kijana wangu
Binti: Bila samahani mama, huku chini nina njia ya uzazi na sio mashine ya photocopy! Tena ukome kunifatilia
****************************
Leo watoto kuanzi miaka mitatu kushuka chiniwameandamana kuelekea ustawi wa jamii kudai kuibiwa jina kao la BABY na kupewa watu wazima na mindevu yao na matiti yao wanaitana BABY. Vipi wewe unahusika na unyanyasaji huo?
****************************