SMS hizi! Ungefanyaje?

SMS hizi! Ungefanyaje?

Hahahah umenifurahisha kaka hiyo ya walevi lol!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
MGOMO WA WEZI

Hatimae wezi nao wametangaza mgomo, watagoma kuiba kuanzia KESHO na kuendela kushinikiza siku zao ziongezwe, badala ya siku za mwizi AROBAINI wanataka za mwizi ziwe THEMANINI! Kweli Tanzania bila migomo haiwezekani.

Weka nje mali zako kipindi hiki cha ngomo, usalama upo.
 
Mwanafunzi: hivi mwl ukichanganya omo na foma zotatoa povu?
Mwl: Kwa hasira akajibu,swali gani la kipuuzi hilo, zitatoa kwa sababu zote ni sabuni.
Mwanafunzi: WeWe ndo mwenyw majibu ya kipuuzi, ----- wee zitatoaje povu wakati hatujaweka maji.
Mwl: hoi
 
MGOMO WA WEZI

Hatimae wezi nao wametangaza mgomo, watagoma kuiba kuanzia KESHO na kuendela kushinikiza siku zao ziongezwe, badala ya siku za mwizi AROBAINI wanataka za mwizi ziwe THEMANINI! Kweli Tanzania bila migomo haiwezekani.

Weka nje mali zako kipindi hiki cha ngomo, usalama upo.

umefunika mkuu
 
Mwanafunzi: hivi mwl ukichanganya omo na foma zotatoa povu?
Mwl: Kwa hasira akajibu,swali gani la kipuuzi hilo, zitatoa kwa sababu zote ni sabuni.
Mwanafunzi: WeWe ndo mwenyw majibu ya kipuuzi, ----- wee zitatoaje povu wakati hatujaweka maji.
Mwl: hoi

Hahahaaaa
 
USHAURI

Naomba ushauri wako, hivi kipi bora kati ya kupeleka nguruwe msikitini au kufanya fujo jeshini?
 
USHAURI

Naomba ushauri wako, hivi kipi bora kati ya kupeleka nguruwe msikitini au kufanya fujo jeshini?
 
Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe,"Leo nataka tukumbushie enzi zetu za kutongozana". Mkewe akajibu "sawa inabidi unisubiri mwembeni saa 1 usiku nitapita". Mzee akafika saa 1 alikaa hadi saa 5 usiku, aliporudi nyumbani akamuuliza mkewe kwa hasira "Sasa tumepanga nini halafu haujatokea?". Mke akajibu "Leo mama alinikataza nisitoke nyumbani usiku nijisomee!". Babu hoi akabaki kucheka tu.
 
Wendawazimu waliamua kuanzisha shule chini ya mti wakaokota vitabu na kujifanya wanasoma. Kesho yake wakamkuta mmoja wao amepanda juu ya mti na baada ya kumuuliza mbona uko juu? Akajibu niko High School...
 
MUNGU hakuumba JUA bila MVUA, SHIDA bila RAHA, CHUKI bila UPENDO, pia ameahidi FARAJA katika HUZUNI, TUMAINI kwa aliyekata TAMAA, na akasema takianeni KHERI.

Nami nakutakia furaha yako iongezeke kama bei ya PETROL, maadui zako wafulie kama TANESCO, shida zako zipungue kama kura za CCM 2015, uaminifu wako uzagae kama bidhaa za MCHINA, shida na matatizo yako yapotee kama babu wa LOLIONDO.
 
kweli k haitoi photocopy hhahahahahahaa yaan zote zimeniacha hoi jaman et jifiche mume wangu kaja hehhehehehehe kweli bora ufe kuliko kukosa ahalaa
 
Wendawazimu waliamua kuanzisha shule chini ya mti wakaokota vitabu na kujifanya wanasoma. Kesho yake wakamkuta mmoja wao amepanda juu ya mti na baada ya kumuuliza mbona uko juu? Akajibu niko High School...

Hahahhahahaaaaa!! So funnnnny
 
Maria anaomba namba yako, nimpe?????
****************************************************************************************



Ni Maria mama wa Yesu amekuja kukomesha wazinzi wanaoshobokea namba za mademu, ili mwanae asije akateswa tena kwa dhambi na umalaya wenu. Mtumie mzinzi mwenzako uone kama atachelewa kuuliza Maria yupi au Maria gani?
******************************************************************************************
 
Padri alikuwa anafuga kuku, siku moja jogoo waka alipotea akaamua kutangaza kanisani.

Padri: Waumini wangapi wana jogoo? Wanaume wote wakasimama!
Padri: Sio hivyo, wangapi wameona jogoo? Wanawake wote wakasimama.
Padri: Hamjanielewa, wangapi wameona jogoo wangu? Masister wote wakasimama!

Padri akatimua mbio! Je padri alikimbia nini?
 
Ama kweli UALIMU kazi ya wito

MWANAFUNZI mmoja hajui kujumlisha wala kutoa. Mwalimu katumia njia zote kumuelimisha lakini wapi ikabidi ajaribu njia hii.
Mwalimu: Kwenu mnafuga nini?
Mwanafunzi: Kuku na mbuzi
Mwalimu: Mbuzi mnao wangapi?
Mwanafunzi: 25
Mwalimu: Mbuzi 25 toa mbuzi 5 watabaki wangapi?
Mwanafunzi: Unawajua mbuzi wetu au unawasikia? Ukimtoa mmoja tu nje wote wanatoka!
Mwalimu: Mmh! Naacha kazi mimi kama mambo yenyewe ni hivi, basi tena.
 
YUPI MKE MWEMA KATI YA HAWA?


1. Ana kiburi ila kitandani mtaalamu.
2. Mpole na mnyenyekevu, ila kitandani kama gogo.
3. Mtaalamu kitandani, ila hajui kupika.
4. Anajua kupika, kitandani mtaalamu, ila mama huruma.
5. Ana heshima, anajua kupika, mpole, ila kitandani hadi umchanie chupi.

NISAIDIE YUPI BORA?
 
Back
Top Bottom