HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 878
- Thread starter
- #341
PESA NOMA
Binti aliyetoweka kijijini akarejea baada ya miaka 3
Baba: We mtoto ulipotelea wapi? Unajua ulimtesa sana mama yako?
Binti: Nilikuwa nafanya kazi ya UMALAYA Marekani!
Dingi: Mshenzi mkubwa we, umetutia aibu wazazi wako hapa kijijini, toka na usikanyage tena hapa!
Binti: Sawa baba ila kabla sijaondoka nimewanunulia nyumba ya kisasa mjini, na milioni 75 nimewawekea benki, na gari nililokuja nalo ni la kwako!
Dingi: Hivi ulisema unafanya kazi gani?
Binti: UMALAYA!
Dingi: Aahaaa,mi nilidhani UYAYA! Karibu ndani mwanangu mpendwa, hongera kwa ubunifu. Safari hii uende na MAMA yako!!
Binti aliyetoweka kijijini akarejea baada ya miaka 3
Baba: We mtoto ulipotelea wapi? Unajua ulimtesa sana mama yako?
Binti: Nilikuwa nafanya kazi ya UMALAYA Marekani!
Dingi: Mshenzi mkubwa we, umetutia aibu wazazi wako hapa kijijini, toka na usikanyage tena hapa!
Binti: Sawa baba ila kabla sijaondoka nimewanunulia nyumba ya kisasa mjini, na milioni 75 nimewawekea benki, na gari nililokuja nalo ni la kwako!
Dingi: Hivi ulisema unafanya kazi gani?
Binti: UMALAYA!
Dingi: Aahaaa,mi nilidhani UYAYA! Karibu ndani mwanangu mpendwa, hongera kwa ubunifu. Safari hii uende na MAMA yako!!