Me370
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 985
- 293
uoga mwngne tena... Familia moja ilivamiwa na majambaz bac ilikuwa hv
JAMBAZ: Ww mama unaitwa nani?
MAMA: Mm naitwa asha
JAMBAZ: Unabahati jina lako km la marehem mama yangu hivyo ckuuwi,umesalimika na ww baba unaitwa nani?
BABA: Mm naitwa Athuman lakin kazin wamezoea kuniita asha kama marehem mama yako.siku njem
JAMBAZ: Ww mama unaitwa nani?
MAMA: Mm naitwa asha
JAMBAZ: Unabahati jina lako km la marehem mama yangu hivyo ckuuwi,umesalimika na ww baba unaitwa nani?
BABA: Mm naitwa Athuman lakin kazin wamezoea kuniita asha kama marehem mama yako.siku njem