Siwanawake wote wanataka Pesa

Siwanawake wote wanataka Pesa

Naanza kwa kujuta sana, kuna kipindi nilienda bank ya posta tawi moja hivi mkoa flani, nikakutana na binti mmoja mzuri sana wa type yangu, alikuwa anafanya field pale, nikachanganyikiwa nikajipenyezapenyeza mpaka upande wake nikampa iPhone yangu na yeye bila hiana akanipa namba yake. Nikawasipati usingizi kila wakati naenda bank. Kuna siku akaniambia tukutane nilifurahi sana nikanunua iPhone 4s na cheni ya laki5 nikampelekea nikamkuta na rafiki yake. Hatukupata nafasi ya kuongea sana akaondoka, kesho yake nikamuuliza kama alipenda ile zawadi akanijibu ndio aliipenda . Toka siku hiyo hakutaka kuonana na Mimi tena, nilikasirika sana nikaishia kumtukana. tumekaa muda wa mwaka mmoja hatujaongea! Jana nimempigia simu tukaongea sana, kikubwa cha kunishangaza Eti zile zawadi alitupa muda uleule cause hazilingani na thamani yake yeye. Yeye hapendi mwanaume anajifanya anapesa anataka mtu wa kawaida and simple. Nikajiangalia mimi pia napenda kuwa simple sasa nashindwa kujua kihelehele nilikitoa wapi cha kununua zawadi za mil2!! Najuta kumkosa huyu binti.

as simpo as that!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????/?????????????/?????????
 
Mpaka hapo bado sijajua nani mjinga, aliyetoa zawadi zenye thamani ya Tsh 2,000,000. siku ya kwanza tu ya kukutana na Binti au aliyezitupa zawadi zenye thamani ya Tsh 2,000,000. Kweli kwenye miti mingi hakuna wajenzi.
 
Ish...kwaiyo ndo tufanyaje sasa....hahaha watu hata kutunga stori inayovutia kusoma hawawezi...duh kweli elimu ya tanzania basi tena...
 
alitupa?????????????? asa si bora angeuza punga kweli huyo mmxxiiuuu
 
Wewe si ndo yule kaka uliibiwa na msichana wa arusha mbona muongo ww kama huna stor s ukse kimya

Cc. Mafikizolo
 
Last edited by a moderator:
Mpaka hapo bado sijajua nani mjinga, aliyetoa zawadi zenye thamani ya Tsh 2,000,000. siku ya kwanza tu ya kukutana na Binti au aliyezitupa zawadi zenye thamani ya Tsh 2,000,000. Kweli kwenye miti mingi hakuna wajenzi.

wajenzii wanakuwepoo ila inategemeana na ni aina gan ya miti hyoo
 
Kama Kongosho wangu! Hata tukilala njaa halalamiki maana anajua cha maana ni mapenzi na kutafuta sote! I love you my Konnie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom