Siwanawake wote wanataka Pesa

Siwanawake wote wanataka Pesa

Mpaka hapo bado sijajua nani mjinga, aliyetoa zawadi zenye thamani ya Tsh 2,000,000. siku ya kwanza tu ya kukutana na Binti au aliyezitupa zawadi zenye thamani ya Tsh 2,000,000. Kweli kwenye miti mingi hakuna wajenzi.
masikini akipata ------ hulia mbwata
 
Ni heri useme ww ndg,halafu huyu jamaa haon aibu kupost utumbo kma huu,haon kma yawezkana ndan ya wajinga 10,na yy aweza kuwa na postion yke hapo.Hata kma nmesoma seminary bt upimbi kma huu siwez fanya.
 
Kwaio hiyo iphone 4s ni millioni 1.5 Tanzanian shillings?
 
wamasai wamezoea kuhongwa ng'ombe na shanga kwa wingi sa wewe unampelekea simu na cheni unategemea nini?
 
Kuna Jamaa mwanza enzi za 1999 alimtokea Dada wa watu akamwambia mie ukinikubali nitakupa makokolo matatu ninayo nane yote yanafanya kazi ...
 
Pesa ndo chumvi ya mapenzi, wanaosema napenda mwanaume simple, ni defence mechanism. Pole sana punguza wenge, usome kwanza mchezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom