thebigbobo
Senior Member
- Sep 25, 2014
- 168
- 17
Naanza kwa kujuta sana, kuna kipindi nilienda bank ya posta tawi moja hivi mkoa fulani, nikakutana na binti mmoja mzuri sana wa type yangu, alikuwa anafanya field pale, nikachanganyikiwa nikajipenyezapenyeza mpaka upande wake nikampa iPhone yangu na yeye bila hiana akanipa namba yake.
Nikawasipati usingizi kila wakati naenda bank. Kuna siku akaniambia tukutane nilifurahi sana nikanunua iPhone 4s na cheni ya laki5 nikampelekea nikamkuta na rafiki yake. Hatukupata nafasi ya kuongea sana akaondoka, kesho yake nikamuuliza kama alipenda ile zawadi akanijibu ndio aliipenda .
Toka siku hiyo hakutaka kuonana na Mimi tena, nilikasirika sana nikaishia kumtukana. tumekaa muda wa mwaka mmoja hatujaongea! Jana nimempigia simu tukaongea sana, kikubwa cha kunishangaza Eti zile zawadi alitupa muda uleule cause hazilingani na thamani yake yeye.
Yeye hapendi mwanaume anajifanya anapesa anataka mtu wa kawaida and simple. Nikajiangalia mimi pia napenda kuwa simple sasa nashindwa kujua kihelehele nilikitoa wapi cha kununua zawadi za million mbili.
Najuta kumkosa huyu binti.
Nikawasipati usingizi kila wakati naenda bank. Kuna siku akaniambia tukutane nilifurahi sana nikanunua iPhone 4s na cheni ya laki5 nikampelekea nikamkuta na rafiki yake. Hatukupata nafasi ya kuongea sana akaondoka, kesho yake nikamuuliza kama alipenda ile zawadi akanijibu ndio aliipenda .
Toka siku hiyo hakutaka kuonana na Mimi tena, nilikasirika sana nikaishia kumtukana. tumekaa muda wa mwaka mmoja hatujaongea! Jana nimempigia simu tukaongea sana, kikubwa cha kunishangaza Eti zile zawadi alitupa muda uleule cause hazilingani na thamani yake yeye.
Yeye hapendi mwanaume anajifanya anapesa anataka mtu wa kawaida and simple. Nikajiangalia mimi pia napenda kuwa simple sasa nashindwa kujua kihelehele nilikitoa wapi cha kununua zawadi za million mbili.
Najuta kumkosa huyu binti.