Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 366
Hii kauli hapa inaonyesha wazi kuwa wabunge wa CCM wanachowaza ni 'kuchachafya' upinzani tu, suala la kujadili masuala ya msingi yenye tija kwa maendeleo ya taifa sio la msingi kwao."Wabunge wa jinsi hii hawatufai' hawana Hoja za kuchachafya upinzani" alisema Sitta.