Sitta: Kuna Wabunge mizigo CCM

Sitta: Kuna Wabunge mizigo CCM

"Wabunge wa jinsi hii hawatufai' hawana Hoja za kuchachafya upinzani" alisema Sitta.
Hii kauli hapa inaonyesha wazi kuwa wabunge wa CCM wanachowaza ni 'kuchachafya' upinzani tu, suala la kujadili masuala ya msingi yenye tija kwa maendeleo ya taifa sio la msingi kwao.
 
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel Sitta , amesema, “ baadhi ya wabunge wa CCM Wakienda bungeni hawachangii lolote, hawaonekani Majimboni mwao, Wanabebwa na Chama, hawa ni mzigo”

“Wabunge wa jinsi hii hawatufai’ hawana Hoja za kuchachafya upinzani” alisema Sitta.

Chanzo: Mwananchi, Jumanne, Julai 30, 2013
huu ni ukweli, CCM imebeba viroba kibao vya mchanga!!! na ndiyo maana inaelemewa si Bungeni tu bali hata majukwaani - badala ya sera inakuwa mitusi mfululizo.

kwa hili Sita lazima nikupongeze kwa kusema ukweli
 
Mzee wangu 6 kwa kweli nakusifu

Ingekuwa mimi baada ya lile sakata la kukanwa na Pombe la michango na timu yenu ya "ushindi" kwa kweli ningeingia mafichoni au ningeamua kujipumzikia kwenye kashamba kangu huko mkuranga.

Respect !!!
 
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel Sitta , amesema, “ baadhi ya wabunge wa CCM Wakienda bungeni hawachangii lolote, hawaonekani Majimboni mwao, Wanabebwa na Chama, hawa ni mzigo”

“Wabunge wa jinsi hii hawatufai’ hawana Hoja za kuchachafya upinzani” alisema Sitta.

Chanzo: Mwananchi, Jumanne, Julai 30, 2013

Kama ni hivyo heri wao wako kimya maana hiyo si kazi ya mbunge.
 
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel Sitta , amesema, “ baadhi ya wabunge wa CCM Wakienda bungeni hawachangii lolote, hawaonekani Majimboni mwao, Wanabebwa na Chama, hawa ni mzigo”

“Wabunge wa jinsi hii hawatufai’ hawana Hoja za kuchachafya upinzani” alisema Sitta.

Chanzo: Mwananchi, Jumanne, Julai 30, 2013
Nae 6 ni mzigo kwa Taifa. tunachohitaji sio hoja za kuchachafya wapinzani bali hoja zenye kuamsha maendeleo. Mbunge hachaguliwi ili akapambane na wapinzani wao bungeni. Usomi wake uko wapi au ndio kukosa haya?yeye anajiona ana uzalendo gani kama anashindwa kuchachafya wabunge na wana CCM wenzake wanaofanya mambo ya ajabu ajabu kwenye nchi hii?
Mnafiki mkubwa, hana tofauti na yeyote katika CCM.
 
Naona mzee Sitta amekuwa Katibu Mwenezi wa mambo ya reja reja ya Chama!!!

Mzee Six anafanya hivyo kujaribu kuokoa jahazi la ccm baada ya vuvuzela nape kushindwa kuhimili vishindo. Badala ya kumlaumu ulitakiwa umshukuru kwa kuwakumbusha wabunge wenu wa ndiyo wafanye kazi zao kikamilifu.

Ni ukweli kwamba wabunge wengi wa ccm takribani asilimia 95 ni mizigo kwa wananchi waliowachagua, ni mizigo kwa chama chenu ccm lakini pia ni mizigo kwa majimbo wanayoyawakilisha.
 
huu ni ukweli, CCM imebeba viroba kibao vya mchanga!!! na ndiyo maana inaelemewa si Bungeni tu bali hata majukwaani - badala ya sera inakuwa mitusi mfululizo.

kwa hili Sita lazima nikupongeze kwa kusema ukweli
"Serikali imevaa miwani ya mbao" by Filikunjombe.
 
Na yeye je? Miaka mingapi sasa toka amekua mbunge? Na urambo ikoje basi nayeye mzigo samahani lakini
Mkuu, kafanya makubwa sana Urambo maana kajenga ofisi ya spika pale na sijui kwa nini dada Anne Makinda haendi kufanyia kazi pale!!!!!!!!!!!
 
Huyu mzee wa CCJ anakoelekea atakuwa chizi maana hizi resi ni balaa,ama kweli nyani haoni nyuma yake!!
Huyu mzee si alishawahi pigwa picha amedoro fofofo halafu haoni kuwa na yeye ni mzigo!Masisiem ni ukoo wa panya baba mweizi mama mwiz.........
Mkuu Safari_ni_Safari tubandikie picha ya hilo gamba 6 likiwa limelala bungeni..
 
Last edited by a moderator:
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel Sitta , amesema, “ baadhi ya wabunge wa CCM Wakienda bungeni hawachangii lolote, hawaonekani Majimboni mwao, Wanabebwa na Chama, hawa ni mzigo”

“Wabunge wa jinsi hii hawatufai’ hawana Hoja za kuchachafya upinzani” alisema Sitta.

Chanzo: Mwananchi, Jumanne, Julai 30, 2013

Kumbe wabunge wa CCM kazi yao ni kutoa hoja za kuchachafya wapinzani!!!! Sio serikali!!
Na yeye mwenyewe ni mzigo kwa taifa!
 
Huyu mzee wa CCJ anakoelekea atakuwa chizi maana hizi resi ni balaa,ama kweli nyani haoni nyuma yake!!
Huyu mzee si alishawahi pigwa picha amedoro fofofo halafu haoni kuwa na yeye ni mzigo!Masisiem ni ukoo wa panya baba mweizi mama mwiz.........
Mkuu Safari_ni_Safari tubandikie picha ya hilo gamba 6 likiwa limelala bungeni..

:wave::wave::wave::wave:...........WITH PLEASURE

images
 
Back
Top Bottom