Sitta: Kuna Wabunge mizigo CCM

Sitta: Kuna Wabunge mizigo CCM

We mzee wacha kabisa kujidanganya, hili bunge la sasahivi bila wabunge wa Chadema kila kitu kinakuwa cha hovyo na bunge linakosa mvuto. Ilipotokea milipuko ya Arusha na wabunge wetu kuondoka bungeni bunge lilipwaya sana hadi kufikia hatua kupitishwa kwa kodi ya kijinga kabisa ya simcard ambayo baade mabunge mizigo hayo hayo ya ccm yakiongozwa na January yanataka sheria ya fedha ya mwaka 2013 irudishwe bungeni kufanyiwa marekebisho.

Huwezi kumfananisha kamanda Halima Mdee na mbunge yeyote kijana ndani ya ccm, she is far better than anyone, huwezi kumfananisha kamanda Mnyika au Sugu na hiyo mizigo yenu. Kamanda Mnyika anasema na kutenda, Kamanda Sugu anasema na kutenda na hilo unalifahamu lakini kwakuwa mizigo huko ccm ni mingi angalia na wewe usijekuwa ni mzigo basi tu hujatambulika.
Mkuu , miye mzigo wangu mmoja tu nausubiri 2015-Halima Mdee.
Akipita ubunge nakula kadi yangu ya CCM!!!!
 
sitta hana akili kabisa,kazi ya mbungee ni kuisimamia serikali wala si kuichacchafya CHADEMA au upinzani,mawazo finyu sana ya huju jamaa eti ndio ana utaka urasi kwa staili hii ajiandae kwenda kupumzika urrambo na mkewe mgawa rushwa shame on you SITTA maneno mengi kumbe wivu tu umekujaa
 
Kwa mujibu wa Sitta, Mbunge wa CCM anapaswa kufanya haya!: “U kweli ni kwamba, baadhi ya wabunge wa jinsi hii hawatufai. Wanakwenda bungeni hawachangii, wanakwenda bungeni hawana hata hoja za kuchachafya upinzani, hawachangii, hawa ni mzigo,” alisema Sitta.
 
Inawezekana yeye anavyopayukapayuka hivyo ndo anafikiri ndo utendaji wenyewe!Tunataka viongozi wa kutenda sio wanaongea tu bila kutenda kama bosi wako ambaye huwa akiongea natamani nivunje TV kwa hasira!Kila anachoongea nikitafakari, anamaanisha the opposite!
 
Mkuu , miye mzigo wangu mmoja tu nausubiri 2015-Halima Mdee.
Akipita ubunge nakula kadi yangu ya CCM!!!!

anza kuila kidogokidogo sababuùkisubiri 2015 itakukaba kooni, hakuna mbwa ndani ccm wa kumsumbua dada ya chuma halima mdee.
 
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel Sitta , amesema, “ baadhi ya wabunge wa CCM Wakienda bungeni hawachangii lolote, hawaonekani Majimboni mwao, Wanabebwa na Chama, hawa ni mzigo”

“Wabunge wa jinsi hii hawatufai’ hawana Hoja za kuchachafya upinzani” alisema Sitta.

Chanzo: Mwananchi, Jumanne, Julai 30, 2013

Wanao changia kwa kuchachafya upinzani ndiyo mizigo maana wanataka watu wakae katika ufukara na fikra duni zilihasisiwa na CCM ili iendelee kutawala wajinga. Wapo watu walio CCM kwa ajili ya kupata Ubunge hasa wakiangalia uzezeta wa maeneo yao, lakini wanajua ukweli ulivyo hivyo si rahisi kwa watu kama hao kuwashambulia wapinzani maana kuushambulia upinzani kwa hali ya Tanzania ni sawa na kuupinga UKWELI.
 
Tatizo lahuyu ni vuguvugu hajulikani ni baridi ama ni moto.
 
anza kuila kidogokidogo sababuùkisubiri 2015 itakukaba kooni, hakuna mbwa ndani ccm wa kumsumbua dada ya chuma halima mdee.
Mbwa jike lililo katika joto utalitambua kwa kuhangaika, miye namtaka huyo Halima si weye.
 
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel Sitta , amesema, “ baadhi ya wabunge wa CCM Wakienda bungeni hawachangii lolote, hawaonekani Majimboni mwao, Wanabebwa na Chama, hawa ni mzigo”

“Wabunge wa jinsi hii hawatufai’ hawana Hoja za kuchachafya upinzani” alisema Sitta.

Chanzo: Mwananchi, Jumanne, Julai 30, 2013
at eheee, naona mmevumilia mmechoka sasa....hamna namna nyingine...ni kutajana tu
 
hahahahahaha tena mzingo wa mavi kafanya nn tabora ndo wazir toka miaka ya 60 huko kashindwa unganisha lami toka tbr mjin mpk urambo kwake ...ata hy urambo yenyewe kafanya nn cha maana labda kwa kujenga hiyo ofic ya kufikia spika,...hahahahaha mzee anachekesha sana kashindwa tbr(mkoa) et anataka nchi mweee!!

Basi Kwa kigezo Chako hiki Mara ingekuwa New York especially Butiama Kwa JK wa ukweli...
 
Kama wengine ni mzigo, basi sita adhabu au lumbesa
 
wataje sio kuingilia kazi isiyo yako kwani wewe ni nani kwenye ccm? katibu mwenezi au katibu mkuu?

MIE BINAFSI nampa big up kwn katibu mwenezi hafanyi kazi yake? Mh. Sitta kwa upande mwngne yupo sawa, kwn ameshapima upepo na moto wa chadema 2014 na 2015
 
Hata hapo yuko chama kingine. We unataka aende physically? Hapo anafanya kazi ya chama kingine ndani ya ukoo wa panya. Sitta husihame chama, bomoa nyumba ukiwa nao ndani.

kaka hapo umenena. Najua akimaliza kubomoa ndn kwake ndo atahamia kwa wezake.
 
Back
Top Bottom