Kuelekea 2025 Nafasi ya Urais: Dkt. Samia atashinda uchaguzi huu. Ni Wabunge gani wa CCM wana uwezekano mkubwa kutetea viti vyao Bungeni 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
21,813
23,365
Nia na dhamira yake njema kwa waTanzania, Record yake nzuri ya maendeleo yanayoonekana kwa wanainchi kijamii, kisiasa, Kitaifa na kimataifa ndani ya muda mfupi sana, ndiyo inambeba zaidi Dr.Samia Suluhu Hassan, na kumuhakikishia ushindi wa kishindo wa urais 2025, atakapogombea nafasi hiyo ya juu kabisa nchini, kwa ngwe nyingine ya pili.

Ni wabunge wa majimbo gani wanabebwa na umahiri wa hoja bungeni, uchapakazi majimboni, mipango, kutetea wapiga kura wao na record za maendeleo kwa wanainchi wao wana uhakika wa kurejea bungeni 2025?

Kwa muda uliobaki wanaweza kukonga nyoyo za wapiga kura wao, kubadili uelekeo na kujihakikishia urejeo mjengoni?

Kumbuka,
Ikitokea mbunge wa sasa hakufanikiwa kurejea bungeni baada ya uchaguzi wa 2025, basi kaa ukijua kuwa, kwa asilimia 100% atakua replaced na mgombea au mbunge mwingine kutoka ndani ya CCM yenyewe.

Friends, ladies and gentlemen,

Ni kujipanga tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kwa sababu rais mwenyewe atakuwa anajitafta tegemea wabunge wengi wa upinzani kuingia bungeni. 70% ya wabunge wote waliopo bungeni 2025 hawatashinda kuanzia mchujo ndani ya vyama vyao. Mbunge wangu Byabato na Yule wa Muleba Kusini na Kaskazini kiufupi Kagera nzima anaweza kubaki Bashungwa tu.
 
Nia na dhamira yake njema kwa waTanzania, Record yake nzuri ya maendeleo yanayoonekana kwa wanainchi kijamii, kisiasa, Kitaifa na kimataifa ndani ya muda mfupi sana, ndiyo inambeba zaidi Dr.Samia Suluhu Hassan, na kumuhakikishia ushindi wa kishindo wa urais 2025, endapo atagombea nafasi hiyo ya juu kabisa nchini.

Ni wabunge wa majimbo gani wanabebwa na umahiri wa hoja bungeni, uchapakazi majimboni, mipango, kutetea wapiga kura wao na record za maendeleo kwa wanainchi wao wana uhakika wa kurejea bungeni 2025?

Kwa muda uliobaki wanaweza kukonga nyoyo za wapiga kura wao, kubadili uelekeo na kujihakikishia urejeo mjengoni?

Kumbuka,
Ikitokea mbunge wa sasa hakufanikiwa kurejea bungeni baada ya uchaguzi wa 2025, basi kaa ukijua kuwa, kwa asilimia 100% atakua replaced na mgombea au mbunge mwingine kutoka ndani ya CCM yenyewe.

Friends, ladies and gentlemen,

Ni kujipanga tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa sababu rais mwenyewe atakuwa anajitafta tegemea wabunge wengi wa upinzani kuingia bungeni. 70% ya wabunge wote waliopo bungeni 2025 hawatashinda kuanzia mchujo ndani ya vyama vyao. Mbunge wangu Byabato na Yule wa Muleba Kusini na Kaskazini kiufupi Kagera nzima anaweza kubaki Bashungwa tu.
umewataja wabunge wa CCM, ni nani atakae wareplace kutoka ndani ya CCM yenyewe?🐒

kua mungwana tu upinzani hakuna bukoba boss
 
Kwenye andiko lako Naomba uondoe neno Endapo atagombea .Maana jibu ni moja tu kuwa RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan atagombea Urais.ndiye Mgombea pekee wa CCM,ndiye atakaye pewa Fomu ya Urais ambayo nayo itakuwa na kuchapishwa Moja tu kwa ajili yake.

Kwa hiyo ningependa urekebishe andiko lako kwa kuondoa maneno hayo yanayosomeka kuwa Endapo atagombea.
 
Nia na dhamira yake njema kwa waTanzania, Record yake nzuri ya maendeleo yanayoonekana kwa wanainchi kijamii, kisiasa, Kitaifa na kimataifa ndani ya muda mfupi sana, ndiyo inambeba zaidi Dr.Samia Suluhu Hassan, na kumuhakikishia ushindi wa kishindo wa urais 2025, atakapogombea nafasi hiyo ya juu kabisa nchini, kwa ngwe nyingine ya pili.

Ni wabunge wa majimbo gani wanabebwa na umahiri wa hoja bungeni, uchapakazi majimboni, mipango, kutetea wapiga kura wao na record za maendeleo kwa wanainchi wao wana uhakika wa kurejea bungeni 2025?

Kwa muda uliobaki wanaweza kukonga nyoyo za wapiga kura wao, kubadili uelekeo na kujihakikishia urejeo mjengoni?

Kumbuka,
Ikitokea mbunge wa sasa hakufanikiwa kurejea bungeni baada ya uchaguzi wa 2025, basi kaa ukijua kuwa, kwa asilimia 100% atakua replaced na mgombea au mbunge mwingine kutoka ndani ya CCM yenyewe.

Friends, ladies and gentlemen,

Ni kujipanga tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
CCM atagombea mwingine tena Mwanaume. Mama anaenda kupumzika atakuwa anakatibia 70s
 
Sema atatangazwa kuwa mshindi na tume inayoitwa huru.
Uchaguzi mkuu wa 2025 unaitwa wa kihistoria kwasababu, hata wapiga kura wa upinzani, mathalani wanapoelekea kituo cha kupigia kura,

ile shauku na tabasamu la usoni litaonyesha kabisa anakwenda kuweka historia ya kwenda kumpigia kura mwanamama shupavu na kipenzi cha waTanzania wote Dr Samia Suluhu Hassan.

tofauti na hapo hesabu ni kura iliyoharibika 🐒
 
Uchaguzi mkuu wa 2025 unaitwa wa kihistoria kwasababu, hata wapiga kura wa upinzani, mathalani wanapoelekea kituo cha kupigia kura,

ile shauku na tabasamu la usoni litaonyesha kabisa anakwenda kuweka historia ya kwenda kumpigia kura mwanamama shupavu na kipenzi cha waTanzania wote Dr Samia Suluhu Hassan.

tofauti na hapo hesabu ni kura iliyoharibika 🐒
Na Professor Urassa Jimbo la Hai 🌹
 
Kwenye andiko lako Naomba uondoe neno Endapo atagombea .Maana jibu ni moja tu kuwa RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan atagombea Urais.ndiye Mgombea pekee wa CCM,ndiye atakaye pewa Fomu ya Urais ambayo nayo itakuwa na kuchapishwa Moja tu kwa ajili yake.

Kwa hiyo ningependa urekebishe andiko lako kwa kuondoa maneno hayo yanayosomeka kuwa Endapo atagombea.
Hayo maneno yako munenzi mwenye mamlaka ya kuyasema kama unavyotaka yawe ni Mungu peke yake ajuaye kesho ya kila mtu
 
Back
Top Bottom