Sitta: Kuna Wabunge mizigo CCM

Sitta: Kuna Wabunge mizigo CCM

Huyu mzee anasemaga kweli wakati mwingine ndo maana walimpumzisha uspika.
Ha ha ha ha ha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Duh
Ya kweli haya mkuu?
Kwani waliachana?


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Jiranu yangu maeneo ya Jackies pale alisumbua sana miaka ya kati ivi, ikabidi aeleweshwe kama anataka urais inabidi atulize dushelele nyumbani.
 
mbona naye ni mzigo hajielewi,ndo maana alipewa kawizara ka kuzugia nako kanamshinda. mwe shida tupu
 
Dah huyu baba sometimes anaongea ukweli hahaha hahaha ndio maana magamba yalimpiga chini uapika hahaha.
 
Huyu mzee anasemaga kweli wakati mwingine ndo maana walimpumzisha uspika.
Ha ha ha ha ha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

samweli sitta alikuwa mzigo pia kwa maccm ndio maana walimtemesha uspika wa bunge, shame on you samweli sitta, kipindi fulani aliwapelekesha sana magamba kumbe walimchora ilivyofika muda wakamfurusha kama kibaka mwizi, shame On him.
 
Kwa hili lina ukweli ndani yake lakini pia yeye ni mzigo,Yeye amefanya nini kama waziri,ambao ni washauri wa raisi...Kwa kweli kuna wabunge ambao kazi yao ni kutafuta tenda za biashara zao tu.Ndo madhara ya kuchanganya biashara na siasa
 
samweli sitta alikuwa mzigo pia kwa maccm ndio maana walimtemesha uspika wa bunge, shame on you samweli sitta, kipindi fulani aliwapelekesha sana magamba kumbe walimchora ilivyofika muda wakamfurusha kama kibaka mwizi, shame On him.
Msukule Mweusi ccm ni mzigo mkuu. Ukiwa na sera zako zilizonyooka lazima wakupindishe
 
Last edited by a moderator:
baba yangu pale izimbili au imala makoye na na nsogor , uyumbu office zina msaidia nani??? tuseme ukweli baba yangu kule ugamba haitaji internet, haitaji wala huo umeme hana shida nao kwa sasa japo vijiji vingine wanao,, wanahitaji pembejeo, za na za kilimo,, ma bwana shamba kama bado wapo,, bei nzuri ya mazao,, wa urabo wamechoka na tumbaku inayo haribu mazingira yao,, wabadilishiwe,, baba yangu mkuu kalima tumbaku mapaka leo hata nyumba ya bati imemshinda sasa amebaki kuwapikia uji wajukuu zake wanao endelea kulima bila mafanikio mazuri,, vyama vya ushhirika na wanunuzi holela wamewafanya ndugu zangu kuwa masikini miak nenda miaka rudi, Mh sitta anajua na anaona
 
Back
Top Bottom