Wenye akili hawatajitaji majina kwenye vyombo vya habari, kwanza ni kinyume cha sheria za utangazaji, chambo chochote cha habari kilicho makini hakiruhusu hilo litokee, hivyo kama mtu mwenye akili ukizingatia haitaharibu ujumbe wako utataja tu in-abstract term na kuzungumzia maswala, lakini hivi kuna mtu leo hii bado hajui Sitta anapotaja mafisadi anamaanisha akina nani? kama yupo mtu kama huyo niseme tu karibu Tanzania..
..Hayo mengine naona unazidi tu kujivua nguo hadharani, kukaa kimya pia ni busara..