PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 155
Ameumia sana roho huyu Sitta kushindwa na Mwanamke. Mfumo Dume.
Hivi huo uchaguzi wa spika wa Sitta na Makinda uuliompatia ushindi makinda ulifanyika lini??? Mimi sikumbuki uchaguzi huo bali kilichofanyika ni udikteta uliohujumu demokrasia kwa kuingiza mfumo wa mwanamke tu ndani ya chama.