Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 636
Mshauri awataje majina hao mafisadi, kwanini anamung'unya maneno? Ujasiri ni kutoa list yake ya mafisadi kama ile iliyotolewa Mwembeyanga. Unajua kwanini hathubutu kuwataja kwa majina? kwa sababu hao anaodai ni mafisadi wana rekodi yake full mkoko! Kumbuka hata Sitta uspika alipewa na hao anaodai ni mafisadi. Ni Rostam ndiye aliyesuka mpango Sitta awe Spika ili EL apewe U-PM, ambao Sitta bado unamtesa hadi leo!
We shida yako ni kuwafahamu mafisadi au kusikia sitta akijidhalilisha kwa kurudia list ile ile ya siku zote?, yuko makini. kwenye bold hujasomeka, sentensi inajipinga yenyewe (nadhani ulitaka kupika hoja)