Sitta alonga katika 'Dakika 45' ya ITV

Sitta alonga katika 'Dakika 45' ya ITV

kikwete fanya maamuzi magumu fukuza sitaaaaaaaaaa you lose nothing anakibomoa chama huku hataki kutoka? mtoe nje akaanzishe CCJ part 2
 
Bila shaka we ndio mnafiki, Sitta ndio kiongozi pekee ndani ya CCM anaeweza kukemea ufisadi ndani ya chama chake hadharani na kwa uwazi zaidi. unafiki wake ni nini? hata kama yuko katika chama ambacho kimepoteza mvuto, nadhani tumtendee haki.

Huu siyo muda wa kutafuta ujiko kwa kukemea ufisadi hadharani, tunahitaji hao mafisadi wachukuliwe hatua za kisheria. Sitta anatumiwa na Kikwete ili watu waone kuwa CCM bado kuna watu wenye uchungu. Huwezi ukawa na kadi ya CCM halafu ujifanye unachukia ufisadi, hii ni sawa na kuwa Mkristo lakini humpendi Yesu Kristo.
 
naondoka kuendlea na shughuli zangu mzeee hana jipya hajaeleza kwa nini hataki kutoka kwenye nyumba ya spika
 
Huu siyo muda wa kutafuta ujiko kwa kukemea ufisadi hadharani, tunahitaji hao mafisadi wachukuliwe hatua za kisheria. Sitta anatumiwa na Kikwete ili watu waone kuwa CCM bado kuna watu wenye uchungu. Huwezi ukawa na kadi ya CCM halafu ujifanye unachukia ufisadi, hii ni sawa na kuwa Mkristo lakini humpendi Yesu Kristo.

Nani huyu anatumia ID ya Mwita25? Unbelievable!
 
tatizo la Sitta ni unafiki.Gazeti lisipomsifia anasema limenunuliwa na Mafisadi.Mbona Raia mwema linapamba kundi lake kila toleo?

Kwa mfuatiliaji yeyote anajua jinsi Mwanahalisi lilivyobadili mtazamo katika mapambano dhidi ya ufisadi, sio kama zamani tena. tafuta humu JF hili swala la mwanahalisi kununuliwa na mafisadi liliongelewa sana. Sitta ni mpambanaji anaefaa kuendelea kuwepo ccm ili kundi lake la wapambanaji wa ufisadi lisife ili mafisadi (ccm bila sita) wasipate nafasi ya kuelekeza nguvu zote katika kubomoa upinzani (kazi ambayo sio ngumu kwa wenye fedha)

Taifa lenye nguvu liombee vita ya wenyewe kwa wenyewe
 
Huyu mzee nuksi kweli, dactary yeye,hakimu yeye, CCJ yeye kwanza hatuhitaji kabisa watu kama yeye kutuongoza katika generation hii anatafuta pa kushika sasa, kwa kauli hiyo anamu attack chairman moja kwa moja hii JK lazima ajibu la sivyo ataendelea kudhalilishwa sana tena na watu aliowapa dhamana ya kuongoza na vyeo serikalini. Kidumu CCM.
 
Bila shaka we ndio mnafiki, Sitta ndio kiongozi pekee ndani ya CCM anaeweza kukemea ufisadi ndani ya chama chake hadharani na kwa uwazi zaidi. unafiki wake ni nini? hata kama yuko katika chama ambacho kimepoteza mvuto, nadhani tumtendee haki.

Mshauri awataje majina hao mafisadi, kwanini anamung'unya maneno? Ujasiri ni kutoa list yake ya mafisadi kama ile iliyotolewa Mwembeyanga. Unajua kwanini hathubutu kuwataja kwa majina? kwa sababu hao anaodai ni mafisadi wana rekodi yake full mkoko! Kumbuka hata Sitta uspika alipewa na hao anaodai ni mafisadi. Ni Rostam ndiye aliyesuka mpango Sitta awe Spika ili EL apewe U-PM, ambao Sitta bado unamtesa hadi leo!
 
Nimeona Highlight ya Kipindi cha Dakika 45 cha ITV, nimeona Mzee Mnafiki Sitta akizungumza Maneno yanayoashiria kwamba Spika wa Bunge Anne Makinda aliwekwa Na Mafisadi walioamua Kubadilisha Masharti ya Uchaguzi ili Ashindwe.

na anadai hizo taratibu zilibadiliswa ndani ya siku moja wakati huo taratibu ngingine zote zikiwa zimekamiliki,,huyu hata aeleweki yeye na mw/kiti wake
 
naondoka kuendlea na shughuli zangu mzeee hana jipya hajaeleza kwa nini hataki kutoka kwenye nyumba ya spika

Atatokaje naye anagawana na mwenye nyumba pasu pasu? Unadhani U$ 7,0000 kwa mwezi mchezo? hataki nyumba za serikali kang'ang'ania kwenye nyumba ya mtu binafsi ili apate mgao....halafu eti anajifanya muadilifu!
 
Sitta ni mnafiki nambari one, anatafuta umaarufu na huruma ya wananchi!

Watu walipiga kelele sana sitta alipotemwa uspika. Leo vipi mnamwita mnafiki? Hapa hapa tulimsifia juu ya utendaji wake bungeni usiwo na upendeleo kwa chama tawala.
 
Source: dakika 45.
Kasema mafisadi ambao wako tayari kumtoa roho ndio waliobadili utaratibu wa uchaguzi wa spika.
Anasema walishindwa kushindana naye kwenye box la kura wakaamua kuweka kigezo cha jinsia.
My take: kama JK aliridhia naye ni fisadi

watu wengine wanaweza kuhitaji zaidi ya karne kujua kama wao ni binadamu au laaah!
 
Mshauri awataje majina hao mafisadi, kwanini anamung'unya maneno? Ujasiri ni kutoa list yake ya mafisadi kama ile iliyotolewa Mwembeyanga. Unajua kwanini hathubutu kuwataja kwa majina? kwa sababu hao anaodai ni mafisadi wana rekodi yake full mkoko! Kumbuka hata Sitta uspika alipewa na hao anaodai ni mafisadi. Ni Rostam ndiye aliyesuka mpango Sitta awe Spika ili EL apewe U-PM, ambao Sitta bado unamtesa hadi leo!

Wenye akili hawatajitaji majina kwenye vyombo vya habari, kwanza ni kinyume cha sheria za utangazaji, chambo chochote cha habari kilicho makini hakiruhusu hilo litokee, hivyo kama mtu mwenye akili ukizingatia haitaharibu ujumbe wako utataja tu in-abstract term na kuzungumzia maswala, lakini hivi kuna mtu leo hii bado hajui Sitta anapotaja mafisadi anamaanisha akina nani? kama yupo mtu kama huyo niseme tu karibu Tanzania..

..Hayo mengine naona unazidi tu kujivua nguo hadharani, kukaa kimya pia ni busara..
 
Kwa mfuatiliaji yeyote anajua jinsi Mwanahalisi lilivyobadili mtazamo katika mapambano dhidi ya ufisadi, sio kama zamani tena. tafuta humu JF hili swala la mwanahalisi kununuliwa na mafisadi liliongelewa sana. Sitta ni mpambanaji anaefaa kuendelea kuwepo ccm ili kundi lake la wapambanaji wa ufisadi lisife ili mafisadi (ccm bila sita) wasipate nafasi ya kuelekeza nguvu zote katika kubomoa upinzani (kazi ambayo sio ngumu kwa wenye fedha)

Taifa lenye nguvu liombee vita ya wenyewe kwa wenyewe

mwanahalisi ndio gazeti pekee ninaloliamini.Sikosi nakala yake kila wiki.
 
Back
Top Bottom