Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,258
- 43,415
Ona unavyo jichanganya ukahaba/ufisadi/unafiki/ulafi ni pacha sifa/tabiya nikutokuwa naaibu binadamu ataungekuwa na elimu mali za samani ukikosa aibu wewe sawa na munyama au mududu kitu kinacho fanya mtuu asifanye kosa niaibu kwakuogopa akijulikana utuwake utashuka/kuzalauliwa au kuogopa kumukosea mngu ukikosa aibu hayo yote huwezi fikiliya atakutembea mtupu unaweza jiulize unayo yatenda unaendana nayo kama sawa unaweza ukaendeleya nayo ni utupuu
Endelea ku-download akili yako ikiwa full nistue..